Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 287
- 279
Siyo Vodacom peke yake, hata tigo nao hivo hivo. Ni juzi tu, wameniibia 400 bila kujiunga na bila kuitumia !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila.la heri upate haki yakoHii line niliyonayo nimeitumia miaka zaidi ya 10 na sijawahi kulalamikia hilo suala kwasababu halikuwahi kunikuta. Isipokuwa kwa mtandao wa halotel niliwahi kuwaeleza na hawakunikata tena.
Ila sasa hawa vodacom jana wamekata hela yangu na mbaya zaidi maelezo wanayotoa sio sahihi yanakinzana! Mara oh nilikopa, tena wanadai nilijiunga na muito kwa wanipigiao. Wapuuzi sana!
Nahitaji wenye tatizo kama langu tuungane tufungue kesi. Mi niko tayari kutafuta hela ya kugharamia wakili mahiri!