Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #21
MJADALA KUHUSU ZANZIBAR NA HATMA YA UCHAGUZI
`TUSIWE TAIFA LA KUONGOZWA KWA UONGO-HUMPHREY POLE POLE`
TUNAHIBIRI TUSIYOYATENDA. NI NJAA AU DINARI
Sehemu ya I
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/968731-mjadala-kuhusu-uchaguzi-wa-zanjadala-humphrey-polepole-na-ismail-jussa.html
Tunaendelea na tathmini ya uchaguzi tukidonoa donoa kilakona
Video inayoonekana hapo juu ni ya mada moto, kwa hisani yaaliyeiletea jamvini
Ni majadiliano kati ya Mh Jusa na Humphrey Polepolekada wa CCM na mwanachama mwenzetu hapa jimvini
Tuseme suala la ZNZ lipo kisheria ingawa ni la kisiasa.
Siasa inaingiliana na sheria ingawa siasa si sheria na walasheria si siasa.
Watunzi wa sheria ni wanasheria, wanaozichambua sheria kwamtazamo wa jamii ni wanasiasa (Bunge) kuziwezesha kuwa sheria zikitumiwana wanasheria
Ni makosa kudhani kila jambo ni siasa.
Tuanze mjadala kwa kuwakumbusha mabandiko ya mwanzotumeelezea mchakato wa uchaguzi., kuanzia tangazo linapotoka hadi kutangazwakwa mshindi
Hoja hizi amezitumia Humphrey na tunamshukuru kwa hilo.
Hatahivyo, tofauti na sisi Mwenzetu amaeachavionjo muhimu
Uchaguzi ili uwe nasifa ni lazima uwe wa haki na huru.
Na hiyo haitoshi ni lazima uwe na integratena credibility ili uweze kutoa legitimacy.
Haya HP (Humphrey Polepole) hakuyagusia kwa makusudi kabisahoja zake zilikuwa za kisiasa zaidi ya kiufundi. Zilikuwa zimelenga kutetea tu kwavile utetezi unahitajika.
Hazikuwa hoja za kushawishi mtu aliyekaa chumbani kwake nafikra sahihi
Maoni ya Jusa na Polepole ni yao kwa mitazamo yao. Hayawezikuchukuliwa kama ukweli kamili.
Hata hivyo, maoni hayo yanapaswa yaambatane nautetezi wenye mantiki, mashiko na wa kisomi. `
Kuendelea kupotosha umma ni kuendeleza dhana ile ilealiyowahi kuisema ndugu Polepole kuwa ` `TUSIONGOZWE KWA UONGO NA KUWA TAIFA LAWAONGO``
Kwa kauli hii ya HP tunapswa kuungana naye, kinyume chake tutakuwa `taifa la waongo`
Tunapaswa tuweke uongo pembeni ili kulinusuru taifa. Hapaduru hatuna utamaduni wa kumjadili mtu bali hoja
Ndivyo tutakvyojadilihoja za HP. Tukiacha uongo utamalakitutaendeleza utamaduni wa kulea viongozi waongo wakihubiri tusiseme uongo, hukuwakikaa mbele ya TV kuhusbiri uongo.
Humphrey Pole pole na hoja zake
Inaendelea sehemu ya II na III
`TUSIWE TAIFA LA KUONGOZWA KWA UONGO-HUMPHREY POLE POLE`
TUNAHIBIRI TUSIYOYATENDA. NI NJAA AU DINARI
Sehemu ya I
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/968731-mjadala-kuhusu-uchaguzi-wa-zanjadala-humphrey-polepole-na-ismail-jussa.html
Tunaendelea na tathmini ya uchaguzi tukidonoa donoa kilakona
Video inayoonekana hapo juu ni ya mada moto, kwa hisani yaaliyeiletea jamvini
Ni majadiliano kati ya Mh Jusa na Humphrey Polepolekada wa CCM na mwanachama mwenzetu hapa jimvini
Tuseme suala la ZNZ lipo kisheria ingawa ni la kisiasa.
Siasa inaingiliana na sheria ingawa siasa si sheria na walasheria si siasa.
Watunzi wa sheria ni wanasheria, wanaozichambua sheria kwamtazamo wa jamii ni wanasiasa (Bunge) kuziwezesha kuwa sheria zikitumiwana wanasheria
Ni makosa kudhani kila jambo ni siasa.
Tuanze mjadala kwa kuwakumbusha mabandiko ya mwanzotumeelezea mchakato wa uchaguzi., kuanzia tangazo linapotoka hadi kutangazwakwa mshindi
Hoja hizi amezitumia Humphrey na tunamshukuru kwa hilo.
Hatahivyo, tofauti na sisi Mwenzetu amaeachavionjo muhimu
Uchaguzi ili uwe nasifa ni lazima uwe wa haki na huru.
Na hiyo haitoshi ni lazima uwe na integratena credibility ili uweze kutoa legitimacy.
Haya HP (Humphrey Polepole) hakuyagusia kwa makusudi kabisahoja zake zilikuwa za kisiasa zaidi ya kiufundi. Zilikuwa zimelenga kutetea tu kwavile utetezi unahitajika.
Hazikuwa hoja za kushawishi mtu aliyekaa chumbani kwake nafikra sahihi
Maoni ya Jusa na Polepole ni yao kwa mitazamo yao. Hayawezikuchukuliwa kama ukweli kamili.
Hata hivyo, maoni hayo yanapaswa yaambatane nautetezi wenye mantiki, mashiko na wa kisomi. `
Kuendelea kupotosha umma ni kuendeleza dhana ile ilealiyowahi kuisema ndugu Polepole kuwa ` `TUSIONGOZWE KWA UONGO NA KUWA TAIFA LAWAONGO``
Kwa kauli hii ya HP tunapswa kuungana naye, kinyume chake tutakuwa `taifa la waongo`
Tunapaswa tuweke uongo pembeni ili kulinusuru taifa. Hapaduru hatuna utamaduni wa kumjadili mtu bali hoja
Ndivyo tutakvyojadilihoja za HP. Tukiacha uongo utamalakitutaendeleza utamaduni wa kulea viongozi waongo wakihubiri tusiseme uongo, hukuwakikaa mbele ya TV kuhusbiri uongo.
Humphrey Pole pole na hoja zake
Inaendelea sehemu ya II na III