Miti ipi inakua haraka inafaa kwa fensi?

Miti ipi inakua haraka inafaa kwa fensi?

Tough lady

Senior Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
151
Reaction score
183
Wadau nahitaji kupanda miti kuzunguka eneo langu, Nahitaji miti inayokwenda juu mfano Miashoki (isiwe ya kitambaa na kuhitaji pruning ya mara kwa mara).

Nimewaza kununia mihashoki lakini sijui kama inawahi sana kurefuka. Hivo naomba kama kuna mtu ana experience na speed ya ukuaji wa miashoki anijuze. Lakini pia napokea mawazo ya miti mingine ambayo naweza kutumia inayoendana na miashoki.

#NB; Kwa mtakaosema miashoki ina mikosi, naomba kuwajulisha kuwa nshalisikia kwa watu hilo na kwangu halina tatizo. Asanteni😋
 
kwanini usioteshe bougainvillea fence
Wazo la kwanza labisa lililuwa hilo na limenikaa kichwani muda mrefu sana. Tatizo ni kuwa eneo lina ukubwa wa acre 10, nikawaza hizo bougainvillea zikianza kutambaa pembeni itakuwa issue kuzipruni na zitajaa hadi barabarani. Otherwise ndio wazo langu la mwanzo kabisa na ambalo natamani hadi sasa niendelee nalo. Ila pruning itaniua na sijajua pia zinachukua muda gani kuanza kutambaa na kuhitaji pruning. Kama zinaanza kuzagaa pembeni kama after 3 years basi hapo naweza kupambana nazo😀
 
Wadau nahitaji kupanda miti kuzunguka eneo langu, Nahitaji miti inayokwenda juu mfano Miashoki (isiwe ya kitambaa na kuhitaji pruning ya mara kwa mara).

Nimewaza kununia mihashoki lakini sijui kama inawahi sana kurefuka. Hivo naomba kama kuna mtu ana experience na speed ya ukuaji wa miashoki anijuze. Lakini pia napokea mawazo ya miti mingine ambayo naweza kutumia inayoendana na miashoki.

#NB; Kwa mtakaosema miashoki ina mikosi, naomba kuwajulisha kuwa nshalisikia kwa watu hilo na kwangu halina tatizo. Asanteni😋
Sasa hiyo itakuwa fence kweli mkuu? Au unataka kwa ajili wind break?
 
ngoja ni google maana mnanichezea na haya majina yenyu 🤣🤣🤣🤣
Mkuu bougainvillea mbona ni mmea maarufu sana asee
images (39).jpeg
 
Back
Top Bottom