Tough lady
Senior Member
- Jul 24, 2013
- 151
- 183
- Thread starter
-
- #41
Wallah mtaniua na haya majina...Aya majina yanampa mtoa mada kizunguzungu.
.
..
...
Kuna miti inafaa sana kwa fans tafuta huu Allocasuarina luehmannii
alafu utapata pesa lazima watu waje kujifunza jinsi ulivyoitunza 😁!.
Oooh😥😥😢😢😢.. Hapa sasa ndo nahisi pressure. Naogopa hata mjusi😢😢Haya jiandae na nyoka wa kijani maana wanayapenda sana
Sawa. Sasa umeweka vema. Mwanzoni nilikuw na mawazo ya majumbani. Miti mizuri kwa hicho unachotaka ni hii hapa chini (fungua link). Kitaalamu huitwa Milicia excelsa. Uitaji majina kwa mimiea ni kizungumkuti, utaona hapo common name wameuita mvule (sina hakika kama ndo mivule hiyo). Ni miti safi mno. Inanyooka na kuwa na mbao ngumu safi sana. Changamoto yake ni kukua taratibu. Mti mwingine ninaona unatumika sana Uchagani ni Grevillea. Cheki link ya pili. Hii haichukui muda kukomaa, nayo ni chanzo kizuri cha mbao laini.
1.https://en.wikipedia.org/wiki/Milicia_excelsa#/media/File:Milicia_roadside_small.jpg
2.https://en.wikipedia.org/wiki/Grevillea_robusta#/media/File:Silveroak.jpg
zingatia
Hali ya hewa ya mahali ulipo ni muhimu sana. Waone wataalamu wa misitu wakupe shule na ushauri.Popote ulipo, tafuta ofisi za wakala wa misitu, huwa wanauza mbegu za miti ya aina nyingi. Ninajua Morogoro,kwa mfano, wapo. Usiende kwa wabongo, akina sisi tunaojiuzia miti chini ya kivuli,nenda ama tafuta mtaalamu.
Mbegu yake inapatikana wapi??? Na Bei yake ikojeSitaki niseme sana ila Mauritius thorn (Caesalpinia decapetala) (Fabaceae) ni mwisho wa matatizo, hakuna kiumbe anayepenya hapo
View attachment 1937312 View attachment 1937313 View attachment 1937314 View attachment 1937315 View attachment 1937316 View attachment 1937317 View attachment 1937318 View attachment 1937319
Hiyo inategemeana na mkoa alipoHata m Christmas unatengeneza fens nzuri
Inapenda hali ya baridi, ni Lushoto, Arusha au Iringa inaweza kustawi.Hiyo inategemeana na mkoa alipo
Ova
Na mbeyaInapenda hali ya baridi, ni Lushoto, Arusha au Iringa inaweza kustawi.
Dodoma Hasa Mzakwe Mbegu Tele Hadi MicheMbegu zake zibapatikana wapi
Oooh😥😥😢😢😢.. Hapa sasa ndo nahisi pressure. Naogopa hata mjusi😢😢
...mmm, Haya majina ni Maumivu!! [emoji16][emoji16][emoji16] angalau Asante kwa Mkuu uliyeweka na Picha badala ya maneno tu! Asante.Wacha nigoogle hii kitu pia. Haya majina yanahitaji utulivu[emoji3]
Mchawi pesa mkuu😃..lakini pia napenda sana miti na mauaWeka Seng'enge bhn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa nitaleta feedback. Nategemea kupanda wakati wa hizi mvua za mwezi wa 9/10 so next month nitakuwa na jibuMwisho wa siku utakaoona unafaa naomba uniambie na mimi pia Tough lady
Mi mwenyewe hadi nikahisi hii mada ni ya wacolombia au wapuerto ricongoja ni google maana mnanichezea na haya majina yenyu 🤣🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Puerto Rico.Mi mwenyewe hadi nikahisi hii mada ni ya wacolombia au wapuerto rico