Mitindo mbalimbali ya vitenge

Hapana mtani nami nataka ila vya chachi siyo huyu amu analeta matenge yake kwenye pati inahuuu
Unaniharibia deal ujue....nikikukamata!!!
 
Last edited by a moderator:
Mi sikubali kuwa kitenge kivaliwe tu kanisani,unaweza ukatokelezea kiofisi haswa na vazi la kitenge,upate mtu wa kukudizainia na fundi akushonee vizuri.

Wengi waliocoment wamezoea kukiona kimeshonwa skirt ndefu na blauzi,mi nafanya kazi ya kudizaini na nguo ninazo dizaini kwa kitenge ni simple ila stylish pia.NA WAWEZA VAA OFISINI PIA.
 
Hapana mtani nami nataka ila vya chachi siyo huyu amu analeta matenge yake kwenye pati inahuuu

Hahaha naona umeamua kumfungia kazi huyo bi dada leo...ila mtani usikose bhanaa maana nishaanza kuona taratibu unachomoa, huko vitenge havitahuuu kabisa
 
Last edited by a moderator:
leo ninaye anajidai mjanja wakati mjini kaja na marlboro yake tukampokea, amu bana anajiona mjanjaaaa kumbe wa kuja......hahahahahah
Hahaha naona umeamua kumfungia kazi huyo bi dada leo...ila mtani usikose bhanaa maana nishaanza kuona taratibu unachomoa, huko vitenge havitahuuu kabisa
 
Last edited by a moderator:
Hahahah nimekuelewa mkubwa juu afu chini mdogooo hahahah shape ya kabati inaitwa

inaitwa shape ya samaki hiyo kabati swaga ya kitambo sana..
Ciello mimi kitenge natinga white party na utantaka mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Watoto wa mjini swaga zeni hizo.. Sisi wa tandahimba ngoja tukae pembeni maana mwaka wa digitali huu majanga kibao..
 
hakuna cha poo hapa we si wjifanya jiji lote walijua twende sasa....utakwendaje kwenye white pati na mijitenge yako??? si bora ulale uwape mbu faida??
Ciello naomba poo kwanza
 
hakuna cha poo hapa we si wjifanya jiji lote walijua twende sasa....utakwendaje kwenye white pati na mijitenge yako??? si bora ulale uwape mbu faida??

kumbe poo imekataliwa???
Wewe kweli wa mkoa kitenge ndo swaga ya mjini ya mjini wajanja wote wanavaa wewe tu nakiswahili chako kigumu mwanamke unakiswahili kimekaza balaa.
Njoo nikupe tuition kiduchu
 
hahahahah kwenda daslam kupata elimu ndo wajiona wa mjini?? na wazaramo wasemeje?? una vaa mijitenge yako wazani unakwenda kwenye mkutano wa UWT!! badilika shosti...sasa we ukivaa hayo majitenge na tunu pinda avae nn?? sofia simba je??avae vipedo?? acha ushamba huo, kuishi tandale isiwe kero kwa wengine bibi eeeh
kumbe poo imekataliwa???
Wewe kweli wa mkoa kitenge ndo swaga ya mjini ya mjini wajanja wote wanavaa wewe tu nakiswahili chako kigumu mwanamke unakiswahili kimekaza balaa.
Njoo nikupe tuition kiduchu
 

point of correction me mzaramo nliyechanganyika na mndengereko...
Wale wakina uwt wanavaa mijitenge mi navaa kitenge.
Upo hapo???
 
hahahahah si useme tu we ------ tukuelewe......

hicho kitenge ukikivaa sipo ndo kinageuka jitenge...u nid to change gal this is 2013 bana..unaniaibisha mwenzio


usijali ntakuja na kipedo na top ya ukweli kwaajili yako andaa viatu
point of correction me mzaramo nliyechanganyika na mndengereko...
Wale wakina uwt wanavaa mijitenge mi navaa kitenge.
Upo hapo???
 
We unafanya kazi kiwanda cha kuoka mikate?? ofisi kibao zina viyoyozi, hili swali achia wanawake wajibu, we mwenye kitobo kimoja halikuhusu endelea kulelewa na hilo puto lako eboh!!...poor reasoning and conclusion

umeachana na bwana wako nn mbona wanifatafata
 
umeachana na bwana wako nn mbona wanifatafata

Angalia hata ustaarabu unakushinda, nenda katumbuliwe kwanza uje na jina la kiume, kila mtu anajua shape ya jibu imefanana na maungo gani ya Bin Adam wa kike halafu bado unajiita mwana wa kiumeni....

.....douchebag......
 
Wengine wanasema mwanamke kitenge, khanga umbea. NAPITA TU JAMANI
 

afu siku hizi nguo ndefu hakuna tena eeh? Vimino vya kitenge sijui vinakuwaje lol
 
Last edited by a moderator:

kwa misuto kumbe umo eeh? Hehehe, nakuja na popcorn, uaimuachie huyo atazoea.
 
hahahah nilikuwa namchagiza shosti angu amu tushayamaliza, kasema hatovaa jitenge tena!!1
kwa misuto kumbe umo eeh? Hehehe, nakuja na popcorn, uaimuachie huyo atazoea.
 
Last edited by a moderator:
Mimi pia sizipendi....ila siku hizi na hizi fashion za kileo, nafikiria kuwa na hata kamoja, kama vile suit/blazer na hizo vintage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…