Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mtani nami nataka ila vya chachi siyo huyu amu analeta matenge yake kwenye pati inahuuu
Hahaha naona umeamua kumfungia kazi huyo bi dada leo...ila mtani usikose bhanaa maana nishaanza kuona taratibu unachomoa, huko vitenge havitahuuu kabisa
hakuna cha poo hapa we si wjifanya jiji lote walijua twende sasa....utakwendaje kwenye white pati na mijitenge yako??? si bora ulale uwape mbu faida??
kumbe poo imekataliwa???
Wewe kweli wa mkoa kitenge ndo swaga ya mjini ya mjini wajanja wote wanavaa wewe tu nakiswahili chako kigumu mwanamke unakiswahili kimekaza balaa.
Njoo nikupe tuition kiduchu
hahahahah kwenda daslam kupata elimu ndo wajiona wa mjini?? na wazaramo wasemeje?? una vaa mijitenge yako wazani unakwenda kwenye mkutano wa UWT!! badilika shosti...sasa we ukivaa hayo majitenge na tunu pinda avae nn?? sofia simba je??avae vipedo?? acha ushamba huo, kuishi tandale isiwe kero kwa wengine bibi eeeh
vinaleta joto dat y hata chupi huwa hawavai wanavaa bikini
point of correction me mzaramo nliyechanganyika na mndengereko...
Wale wakina uwt wanavaa mijitenge mi navaa kitenge.
Upo hapo???
We unafanya kazi kiwanda cha kuoka mikate?? ofisi kibao zina viyoyozi, hili swali achia wanawake wajibu, we mwenye kitobo kimoja halikuhusu endelea kulelewa na hilo puto lako eboh!!...poor reasoning and conclusion
umeachana na bwana wako nn mbona wanifatafata
Mh... Bujibuji inategemea na dress code ya ofisi husika. Mf. sisi tuna official dress code kabisa na zimeelekezwa kwa njia ya picha. Kitenge huvaliwa siku ya ijumaa make hapo kila mtu analipuka kivyake maadamu nguo iwe ya heshima.
Kuna NGO flan jirani yetu, wao hawana official dress code. Kwa wadada huwa wanatupia hadi vipedo na wakaka jeans hata katikati ya week.
Ila kwa sisi ofisin kwetu jumatatu mpaka alhamisi inatakiwa utupie kisawasawa kama hivi
![]()
hahahahah kwenda daslam kupata elimu ndo wajiona wa mjini?? na wazaramo wasemeje?? una vaa mijitenge yako wazani unakwenda kwenye mkutano wa UWT!! badilika shosti...sasa we ukivaa hayo majitenge na tunu pinda avae nn?? sofia simba je??avae vipedo?? acha ushamba huo, kuishi tandale isiwe kero kwa wengine bibi eeeh