Mitindo mbalimbali ya vitenge

kwa misuto kumbe umo eeh? Hehehe, nakuja na popcorn, uaimuachie huyo atazoea.

King'asti unashadadia eee??
Ndugu wakigombana shika jembe kalime .....by the way nguo ndefu ndo fasheni sasa na vitengezzzz Ciello analijua hilo
 
Last edited by a moderator:
mmh! vazi la kitenge kwa ofisi sivai ht kwa panga.
 

Na distribute vitenge wholesale kutoka Holland and Dutch 100 percent WAX ,vinanunuliwa balaa
 
Na distribute vitenge wholesale kutoka Holland and Dutch 100 percent WAX ,vinanunuliwa balaa

Aaaaaaaaah Wapi!!!!!!!! Skintight! Skin jeans! Leggings! Stockings! Avae nani kama sio mie!!!!! Vitenge nimemuachia Mama Lara 1 ajitambe navyo!!!!
 
ram, mi ni mgonjwa kabisa kwa ile miguu chupa ya dawa ya mbu, miguu myembamba kama fimbo za kupigia drums
aha aha aha aha.... we bujibuji wewe, yaelekea u mgonjwa wa miguu ya vyupa vya bia eeh!
 
Last edited by a moderator:
Inategemea kimeshonajwe
Smile nakubaliana na wewe; Pata picha ni ijumaa, umevalia suruali yako na top halafu unatupia na kikoti cha kitenge (kinacho match na hio outfit) Lazima utoke tu 😎
 

You are right, hamjaona vitenge vimeshona mmezoea kuona mapande sita tu. Njoo nikushonee kitenge kama utakivaa sehemu wakakuquestion basi nitakulipa kila kitu + usumbufu. Tatizo la wabongo mna madharau, kwa nini unione mshamba kwa kuvaa kitenge, ila mama yako, dada, shangazi wakaivaa unaona wamependeza?
 
kila mtu na interest zake caro ila kitenge kinavaliwa popote sema inatakiwa mshono utofautiane kutoka sehemu na sehemu .wengine tuna hadi chupi na night dress za vitenge!
 
kila mtu na interest zake caro ila kitenge kinavaliwa popote sema inatakiwa mshono utofautiane kutoka sehemu na sehemu .wengine tuna hadi chupi na night dress za vitenge!

Sawa kabisa. Siyo lazima kila ninachovaa uapreciate!
 
Chris B. Daniel umeongea jambo la maana sana. Mkoloni physically tumemuondoa, bado mentally mkoloni anaendelea kututawala
 
Last edited by a moderator:
point of correction me mzaramo nliyechanganyika na mndengereko...
Wale wakina uwt wanavaa mijitenge mi navaa kitenge.
Upo hapo???

wandengereko mnaongoza kwa uchawi
 
Angalia hata ustaarabu unakushinda, nenda katumbuliwe kwanza uje na jina la kiume, kila mtu anajua shape ya jibu imefanana na maungo gani ya Bin Adam wa kike halafu bado unajiita mwana wa kiumeni....

.....douchebag......

kumbe tigo yako na k vinakuwasha panga lini nikushughurikie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…