Mitindo ya uongozi ya Hayati Magufuli, Makonda na Lissu imepitwa na wakati na ni hatari kwa maisha

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ukiniuliza kwa nini muziki wa Reggae hauna vibe siku hizi jibu ni moja tu, dunia ya sasa hivi hakuna ukoloni wala ubahuzi wa rangi.

Aina hiyo ya muziki ilikuwa kwa ajili ya ukombozi, sasa kama hakuna ubaguzi wala ukoloni unamuimbia nani.

Hawa niliowataja ingekuwakipindi cha kudai uhuru wangetufaa sana kuwafokea wakoloni,lakini kwa sasa dunia hatuwahitaji, unanifokeaje Mtanzania mwenzio, nchi sio ya baba yako hii. Hii ni nchi yetu sote, big up kwa Jakaya Kikwetena Freeman Mbowe, miamba ya siasa nchini, hata ukiwatukana wao wanakuchekea tu na mkikutana anakupa mkono kukusalimia.

Hao ndio watoto wa mjini wanaojua siasa za kizazi kipya, hawaboi hawapoi.

TAL, Makonda na JPM followers something to learn here. Hizo sio siasabali harakati na mwisho wa wanaharakati huwa mbaya.

Niko na Peter Msechu studio tunarekodi wimbo.
 
NANI ALIKUAMBIA REGGAE NI KWA AJILI YA UKOLONI NA UBAGUZI TU? UNA UMRI GANI DOGO?
 
Yani wewe unasikiliza muziki wa reggae ya kizamani halafu unalaumu muziki wa reggae hauna vibe siku hizi?

Unajua muziki wa reggae una sub genres zipi?
Iwe roots ,ragga,sweet,whatever,reggae haina vibe siku hizi
 
Sema tu umemuweka Tundu Lissu ili kunogesha uzi wako.
 

..umesahau kwamba kuna wakati CCM wanafanya ufedhuli kuliko Wakoloni, na ndio sababu kuna wanaharakati, na wapinzani, wanaowafokea.
 
TL alikuongoza wapi? sweet reggae bado tamu sana huwezi ifananisha na Singeli au Mchiriku.
 
TL alikuongoza wapi? sweet reggae bado tamu sana huwezi ifananisha na Singeli au Mchiriku.
Aliniongoza kama mbunge kule Singida na akaniongoza kama Rais wa TLS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…