Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ualimu pasipo elimu, UPETatizo lipo kwa mwalimu, ameshindwa kumuelewesha mwanafunzi kuwa anapoambiwa kanusha inatakiwa afanye kitu gani,
Utakuta et mwalimu ndio anaona et mtoto ni kilaza, ualimu ni wito wengine hamjaitwa mmejipeleka tu
Km walimu wangelikua wanafanya aina hiyo ya maamuz kwa kila mtoto msumbufu inawezekana mim,wew na mtoa mada wote tusingepata tulichokipata toka kwa hao walimuToto jinga Sana hili, hapa mm naita mzazi nakabizi toto lake aiseee
Toto jinga Sana hili, hapa mm naita mzazi nakabizi toto lake aiseee
NINEKANUSHADuuh!! Hizi elimu za watoto 200 darasa moja haya ndo matokeo.
Kwani siku zote wanaoelewa ni wachache na si ajabu siku anafundishwa namna ya kukanusha alikuwepo bali hamna alichoambulia hivyo kwenye paper imebidi aandike anachojua yeye.
NINEKANUSHAMkuu kwa hayo maamuzi yako mimi NAKANUSHA😁
NIMEKANUSHAKm walimu wangelikua wanafanya aina hiyo ya maamuz kwa kila mtoto msumbufu inawezekana mim,wew na mtoa mada wote tusingepata tulichokipata toka kwa hao walimu
NIMEKANUSHAHuyo dogo kichuochuo ana A kaambiwa akanushe na yey kakanusha tayari. Namna ya kuandika ukanushi wake ndo afundishwe kesho asubuh mwalimu. Usilazmishe uwauzie ubuyu tu
... tatizo liko kwa mwalimu kivipi Chief? Huo ni mtihani ulitegemea mwalimu amueleweshe maana ya kukanusha wakiwa ndani ya chumba cha mtihani? Wewe ndiye mwenye tatizo wa pili huyo mwanafunzi! Hukawii kuvamia shule kisa mwanao kafeli.Tatizo lipo kwa mwalimu, ameshindwa kumuelewesha mwanafunzi kuwa anapoambiwa kanusha inatakiwa afanye kitu gani,
Utakuta et mwalimu ndio anaona et mtoto ni kilaza, ualimu ni wito wengine hamjaitwa mmejipeleka tu
Wamekanusha kwamba mbowe sio gaidi Sasa hujaelewa nini mkulungwa.
Kisha futiwa mashitaka?Wamekanusha kwamba mbowe sio gaidi Sasa hujaelewa nini mkulungwa.
Sasa pale Kuna kesi we unavyoona? Ndio màana madogo wamepredictKisha futiwa mashitaka?
Kwani Ilana ya chama inasemaje?Sasa pale Kuna kesi we unavyoona? Ndio màana madogo wamepredict