Mitoto mingine sijui ikoje? Kazi ya ualimu ni ngumu sana aisee

Toto jinga Sana hili, hapa mm naita mzazi nakabizi toto lake aiseee
Km walimu wangelikua wanafanya aina hiyo ya maamuz kwa kila mtoto msumbufu inawezekana mim,wew na mtoa mada wote tusingepata tulichokipata toka kwa hao walimu
 
Tatizo lipo kwa mwalimu, ameshindwa kumuelewesha mwanafunzi kuwa anapoambiwa kanusha inatakiwa afanye kitu gani,

Utakuta et mwalimu ndio anaona et mtoto ni kilaza, ualimu ni wito wengine hamjaitwa mmejipeleka tu
... tatizo liko kwa mwalimu kivipi Chief? Huo ni mtihani ulitegemea mwalimu amueleweshe maana ya kukanusha wakiwa ndani ya chumba cha mtihani? Wewe ndiye mwenye tatizo wa pili huyo mwanafunzi! Hukawii kuvamia shule kisa mwanao kafeli.
 
Waalimu ndo mna matatizo na kutaka mwanafunzi ajibu kikichopo kwenye marking scheme.....

Mm ningempa marks endapo angeweza kunipa tafsiri ya neno nimekanusha kwa usahihi.
 
Uto"tukosa"twa mwalimu,anaonekana alikua kilaza sana ,na mwalimu wake wa mwandiko alipata shida sana nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…