Mitoto unaihangaikia peke yako ikifika ukubwani inaenda kutafuta ukoo wao...

Mitoto unaihangaikia peke yako ikifika ukubwani inaenda kutafuta ukoo wao...

Mama anatakiwa ampe mtoto nafasi ya kujua hilo pia. Watoto hupenda kujua ukweli wa hayo madai ya mama kuwa baba alikutelekeza, na wengine
Unafikiri Kama babaako alikukataa ukiwa mdogo ukienda kwake umeshakua mkubwa atakuambia nlikukataa? Au nilikwepa majukumu ya kukutunza? Lazima akubadilishie stori ukimpata babaako umeshakua mkubwa sio tegemezi tena lazima utamuona mwema Sana na atakupokea vzuri kweli kweli

Mamaako hawezi kukupeleka kwa babaako upate kuamua mwenyewe Kama Ni mzuri au mbaya kwasababu ya hasira mtu kashakukatalia mtoto na kukwepa majukumu unampeleka mtoto amjue ili iweje shida hujajiweka kwenye nafasi ya huyo mama
 
Kwa hili mtoto ana ombwe moyoni
Hivyo anatafuta majibu

Heri aambiwe Baba yake alifariki..sema nayo atataka kumjua na kuhakiki kaburi!
 
Hii kauli nimeisikia jana akilalama mama mmoja katika mazungumzo na wenzie kibarazani. Anadai ametunza mtoto peke yake kwa mahangaiko makubwa, kamsomesha kwa tabu kwa pesa za kuokoteza kwenye vigenge, upatu na misaada ya kaka zake. Lakini ameshangaa sana mtoto alipomaliza
Hiyo ni nature ya akina mama wengi,hata mimi Maza kuna watu huwa anasema hapendi nihusiane nao, Kwa hiyo ni wewe mwenyewe kujiongeza.
 
Shida ya single mama wakiachana na waume zao hua wanataka ugomvi urithishwe hadi kwa watoto na hua wanataka mtoto asimjue baba kabisa, stupid.
Baba anapokataa mimba/mtoto mama atamlazimisha?.
 
Mama anatakiwa ampe mtoto nafasi ya kujua hilo pia. Watoto hupenda kujua ukweli wa hayo madai ya mama kuwa baba alikutelekeza, na wengine wakimpata huyo baba huwa wanamhoji na kulinganisha taarifa. Kuna mmoja namfahamu aliambiwa siku nyingi na mama yake kuwa babake ni mtu mwenye roho mbaya sana. Mtoto alipofikisha umri wa kujitegemea akamtafuta yule baba, walichoongea wanajua wenyewe, lakini siku hizi wana maelewano mazuri tu japo hakumlea utotoni. Na huyu kijana anashirikiana vizuri na ndugu zake wa upande wa baba japo alifichwa miaka yote hiyo.
Kuna umuhimu wa kuelewa kuwa mtoto ni individual mwenye hisia zake na namna yake ya kutafsiri mambo, ukimficha sana mwishowe atakuja kupewa hadithi nyingine na ataiamini. Nafikiri ndio maana baadhi ya akina mama hawataki watoto wakutane na hao baba zao, wanaogopa hiyo hadithi atakayosema baba ambayo labda mtoto ataiamini.

Kuepuka yote hayo, mpe mtoto nafasi ya kumjua baba yake tangu awali, kama kweli huyo baba ni mbaya mtoto atajionea mwenyewe na ataelewa kwanini mama alishindwa. Na kama huyo baba ni mwema, basi mtoto ataufaidi huo wema kwa nafasi yake hata kama mama hataki.
Baba mwema gani unakwepa mwanao hadi mtoto akutafute?.

Kuna ile mtu anaachana na mwanamke ila anawajibika kwa mtoto

Hakuna mwanamke atakataa support ya Baba mtoto wake..HAYUPO..

Ila Baba watoto naona ndio wanaongoza kwa kukataa watoto..

Mama ana machungu
Ila ni heri mtoto aambiwe ukweli akikua
Akiwa mdogo mama naona anakwepa kumuonyesha mwanae kuwa amekataliwa..si kitu kizuri hata kiroho..
 
Kwa akili ya haraka tu nimegundua huyo mama mwenyewe anashida ndio maana kumekuwa na kukosekana kwa ushirikiano wa kutoka upande wa pili.

Wanawake mjifunze sana binafsi nina mtoto yupo standard two namsomesha shule ya kulipia mwanzoni nilikuwa naletewa report za shule matokeo ya mitihani everything lkn saizi sijamuona mtoto since 28 December 2020 wala test na kila kitu nimelipa mpaka transpo je wapi nimekosea?

Je nikiamua kususa nikae pembeni itakuwaje ?
 
Hii kauli nimeisikia jana akilalama mama mmoja katika mazungumzo na wenzie kibarazani. Anadai ametunza mtoto peke yake kwa mahangaiko makubwa, kamsomesha kwa tabu kwa pesa za kuokoteza kwenye vigenge, upatu na misaada ya kaka zake. Lakini ameshangaa sana mtoto alipomaliza chuo na kuanza kupata kipato, mtoto ameanza kuzunguka huku na huko akiulizia ukoo wake! Huyo mama anadai amemfuma kijana akiwa anaongea na mtu wa ukoo wa babake ambaye huyo mama anamweleza kama kisirani kabisa hataki asogeze pua karibu na mwanae. Anadai amemtishia mtoto wake kuwa akiendelea kutafuta hicho anachodai ni ukoo wake, eti atamlaani!

Nauliza akina mama, hii ni sahihi? Kwanini hutaki mtoto ajue ukoo wake? Kila binadamu ana haki ya kuijua asili yake, hata kama humpendi huyo babake.
Kama unamchukia kiasi hicho huyo baba mtoto na ukoo wake wote, kwanini ulimpa? Si ungemnyima tu kuepusha shari? Mtoto hajahusika na kosa lako/lenu/la babake, kwanini unamnyima haki? Huoni kuwa huo ni unyanyapaa mtoto ajisikie kama mtu aliyeokotwa tu?
Tatizo wazazi wa siku hizi wanafikiri kumsomesha mtoto na kumpa mahitaji ya msingi ni hisani,au deni kwamba mtoto akikua lazima alipe fadhila,la hasha,sasa mtoto umemzaa mwenyewe!ulitaka asomeshwe na nani!?
Hilo ni jukumu la mzazi,baada ya kujitegemea mtoto akigoma kutoa msaada kwa wazazi alaumiwe kwa kosa Hilo lakini sio kwa kumsimanga kwamba hana shukrani hataki kulipa walichompa wazazi.
Mimi watoto wangu nawapa huduma Bora sio kama hisani au deni kwmaba nawakopesha,ndio jukumu langu,
Mimacho wapa nataka kiwasaidie wao na uzao wao(ambao ni wangu vile vile),
Ili nitakapo kuwa nimelala milele,najua vitukuu vyangu na kizazi mpaka Cha 4,wataishi vzr
 
Mkuu,ni sahihi kwa baba kumtelekeza mtoto kisa haelewani na mama yake hadi mtoto aje akue ajishughulishe kumtafuta ndipo ampokee kwa bashasha?
Kama mama wa mtoto ni jeuri,hana ndugu wa kupitishia misaada kwa ajili ya mtoto?
Kukwepa majukumu ya malezi kwa mtoto wa kumzaa ni ujinga wa hali ya juu ambao hauna msamaha
Wapo wamama wanaokimbia na watoto kwa kuwa wamekorofishana na baba watoto. Wanadai wanao uwezo wa kutunza watoto peke yao, hakuna sababu ya kuhangaika na "vimeo".
 
Unafikiri Kama babaako alikukataa ukiwa mdogo ukienda kwake umeshakua mkubwa atakuambia nlikukataa? Au nilikwepa majukumu ya kukutunza? Lazima akubadilishie stori ukimpata babaako umeshakua mkubwa sio tegemezi tena lazima utamuona mwema Sana na atakupokea vzuri kweli kweli

Mamaako hawezi kukupeleka kwa babaako upate kuamua mwenyewe Kama Ni mzuri au mbaya kwasababu ya hasira mtu kashakukatalia mtoto na kukwepa majukumu unampeleka mtoto amjue ili iweje shida hujajiweka kwenye nafasi ya huyo mama
Ndio maana nimeshauri wamama wasisubiri hadi mtoto akue aende kwa baba kivyake. Wamwambie tangu mapema kuwa babako ni fulani yuko mahali fulani, akitaka kumwambia sababu ya kutengana ni juu yake, lakini mtoto amjue huyo baba. Uzuri au ubaya wake aujue mapema tu, usisubiri akue. Na huwezi kumzuia kutafuta upande wa pili wa story yako, ni haki yake. Bora ajue mapema, aulize maswali yake yote ajibiwe, apate amani ya nafsi yake.
Kumbuka kadri unavyojitahidi kumnyima mtoto taarifa ndivyo naye anavyozidisha mashaka na kukosa amani.
 
Baba mwema gani unakwepa mwanao hadi mtoto akutafute?.

Kuna ile mtu anaachana na mwanamke ila anawajibika kwa mtoto

Hakuna mwanamke atakataa support ya Baba mtoto wake..HAYUPO..

Ila Baba watoto naona ndio wanaongoza kwa kukataa watoto..

Mama ana machungu
Ila ni heri mtoto aambiwe ukweli akikua
Akiwa mdogo mama naona anakwepa kumuonyesha mwanae kuwa amekataliwa..si kitu kizuri hata kiroho..
Jinsia zote mbili kuna wema na wabaya.
Wapo wamama viburi. Nina pesa naweza kulea peke yangu. Mama anamuuliza mtoto "unamtafuta baba wa kazi gani, kwani umepungukiwa nini hapa kwangu, mbona una maisha mazuri kuliko hao wenye baba!" Lakini hapo hapo mtoto anamuona mamake anavyojirusha na wanaume wengine, baadae akipata akili anawaza au anagundua kuwa hata hawa wababa ninaowaonaga hapa nyumbani wana familia zao na watoto kama mimi wanaoulizia baba zao! Akipata wasaa wa peke yake anafanya utafiti wake, na akipata majibu ni ya kwake hata kama mama hatayapenda! Hebu jitafakarini wamama.
 
Jinsia zote mbili kuna wema na wabaya.
Wapo wamama viburi. Nina pesa naweza kulea peke yangu. Mama anamuuliza mtoto "unamtafuta baba wa kazi gani, kwani umepungukiwa nini hapa kwangu, mbona una maisha mazuri kuliko hao wenye baba!" Lakini hapo hapo mtoto anamuona mamake anavyojirusha na wanaume wengine, baadae akipata akili anawaza au anagundua kuwa hata hawa wababa ninaowaonaga hapa nyumbani wana familia zao na watoto kama mimi wanaoulizia baba zao! Akipata wasaa wa peke yake anafanya utafiti wake, na akipata majibu ni ya kwake hata kama mama hatayapenda! Hebu jitafakarini wamama.
Wanaweza kuwepo ila ni wachache sn

Mwanamke atake kulea mwenyewe?!!asema tu kakataliwa hana option
 
Ndio maana nimeshauri wamama wasisubiri hadi mtoto akue aende kwa baba kivyake. Wamwambie tangu mapema kuwa babako ni fulani yuko mahali fulani, akitaka kumwambia sababu ya kutengana ni juu yake, lakini mtoto amjue huyo baba. Uzuri au ubaya wake aujue mapema tu, usisubiri akue. Na huwezi kumzuia kutafuta upande wa pili wa story yako, ni haki yake. Bora ajue mapema, aulize maswali yake yote ajibiwe, apate amani ya nafsi yake.
Kumbuka kadri unavyojitahidi kumnyima mtoto taarifa ndivyo naye anavyozidisha mashaka na kukosa amani.
Hawezi kumuonyesha mtoto kwa baba yake kwasababu ya chuki na hasira kulea mtoto peke yako sio kazi rahisi lakini kwa nnavyokuona huwezi kukubali mawazo tofauti umeshaset your mind kwamba huyo mama ndo mbaya baba Ni mzuri na yeye kukaa mbali na mtoto Ni kosa la mama mtoto amtafute tu baba yake hapo huwezi kumzuia Ila I feel so bad kwa huyo mama namuonea huruma Sana maumivu yake nayaelewa
 
Hawezi kumuonyesha mtoto kwa baba yake kwasababu ya chuki na hasira kulea mtoto peke yako sio kazi rahisi lakini kwa nnavyokuona huwezi kukubali mawazo tofauti umeshaset your mind kwamba huyo mama ndo mbaya baba Ni mzuri na yeye kukaa mbali na mtoto Ni kosa la mama mtoto amtafute tu baba yake hapo huwezi kumzuia Ila I feel so bad kwa huyo mama namuonea huruma Sana maumivu yake nayaelewa
Wala sijasema baba ndio mzuri. Kama kweli baba alitelekeza mtoto, hiyo ni mbaya. Lakini pia mama kumnyima mtoto haki ya kumjua baba yake ni mbaya pia. Two wrongs do not make a right.
 
Mama zetu wanatakiwa kuwa na msimamo,mfano,bwege akiikataa mimba,akamkataa na mtoto akizaliwa,basi,mama wa mtoto ajihesabie alibakwa na jambazi.
Mtoto anavyo kua awe anaelekezwa "nilibakwa na bwege moja kumbe jambazi,waliliua raia wenye hasira kali baada ya kulifumania likibaka mwanafunzi",hadi anakua mkubwa mtoto aelewe baba yake alikuwa jambazi wa ngono.
#uwemwendowakuharianatu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] hii nzuri
 
Hii kauli nimeisikia jana akilalama mama mmoja katika mazungumzo na wenzie kibarazani. Anadai ametunza mtoto peke yake kwa mahangaiko makubwa, kamsomesha kwa tabu kwa pesa za kuokoteza kwenye vigenge, upatu na misaada ya kaka zake. Lakini ameshangaa sana mtoto alipomaliza chuo na kuanza kupata kipato.

Mtoto ameanza kuzunguka huku na huko akiulizia ukoo wake! Huyo mama anadai amemfuma kijana akiwa anaongea na mtu wa ukoo wa babake ambaye huyo mama anamweleza kama kisirani kabisa hataki asogeze pua karibu na mwanae. Anadai amemtishia mtoto wake kuwa akiendelea kutafuta hicho anachodai ni ukoo wake, eti atamlaani!

Nauliza akina mama, hii ni sahihi? Kwanini hutaki mtoto ajue ukoo wake? Kila binadamu ana haki ya kuijua asili yake, hata kama humpendi huyo babake.
Kama unamchukia kiasi hicho huyo baba mtoto na ukoo wake wote, kwanini ulimpa? Si ungemnyima tu kuepusha shari? Mtoto hajahusika na kosa lako/lenu/la babake, kwanini unamnyima haki? Huoni kuwa huo ni unyanyapaa mtoto ajisikie kama mtu aliyeokotwa tu?
Ukiwalea watoto kwa kuwalisha sumu za kuchukia mmoja w wazazi wao na ukoo ndo umejipalia makaa ya kukimbiwa wakishakua watu wazima
 
Afrika mambo ya kufuatiliana ni yakishamba sana.

Kawaida mtoto akishafikishafika umri wa kujitegemea mzazi unatakiwa kuacha kumshikia mawazo.

Ni jukumu la mzazi kumlea mtoto. Akishakuwa huna mamlaka ya kumshikia mawazo.
 
Mama zetu wanatakiwa kuwa na msimamo,mfano,bwege akiikataa mimba,akamkataa na mtoto akizaliwa,basi,mama wa mtoto ajihesabie alibakwa na jambazi.
Mtoto anavyo kua awe anaelekezwa "nilibakwa na bwege moja kumbe jambazi,waliliua raia wenye hasira kali baada ya kulifumania likibaka mwanafunzi",hadi anakua mkubwa mtoto aelewe baba yake alikuwa jambazi wa ngono.
#uwemwendowakuharianatu
[emoji38][emoji38]
 
Hii kauli nimeisikia jana akilalama mama mmoja katika mazungumzo na wenzie kibarazani. Anadai ametunza mtoto peke yake kwa mahangaiko makubwa, kamsomesha kwa tabu kwa pesa za kuokoteza kwenye vigenge, upatu na misaada ya kaka zake. Lakini ameshangaa sana mtoto alipomaliza chuo na kuanza kupata kipato.

Mtoto ameanza kuzunguka huku na huko akiulizia ukoo wake! Huyo mama anadai amemfuma kijana akiwa anaongea na mtu wa ukoo wa babake ambaye huyo mama anamweleza kama kisirani kabisa hataki asogeze pua karibu na mwanae. Anadai amemtishia mtoto wake kuwa akiendelea kutafuta hicho anachodai ni ukoo wake, eti atamlaani!

Nauliza akina mama, hii ni sahihi? Kwanini hutaki mtoto ajue ukoo wake? Kila binadamu ana haki ya kuijua asili yake, hata kama humpendi huyo babake.
Kama unamchukia kiasi hicho huyo baba mtoto na ukoo wake wote, kwanini ulimpa? Si ungemnyima tu kuepusha shari? Mtoto hajahusika na kosa lako/lenu/la babake, kwanini unamnyima haki? Huoni kuwa huo ni unyanyapaa mtoto ajisikie kama mtu aliyeokotwa tu?
Ukweli huru ni kuwa mtoto ni wa baba siku zote_wapo wamama wengi wenye uwezo wa kipesa na wengine wasio na chochote kile zaidi ya KIBURI na UJINGA ambao walijiaminisha kuwa 'wameweza kulea watoto wao wenyewe' bila ya msaada wowote ule toka kwa wababa husika na mwishowe WATOTO HAO HAO WAKAWAITA MAMA ZAO WACHAWI[emoji41]....
 
Back
Top Bottom