Mitoto unaihangaikia peke yako ikifika ukubwani inaenda kutafuta ukoo wao...

Mitoto unaihangaikia peke yako ikifika ukubwani inaenda kutafuta ukoo wao...

Hakuna mama mwenye akili timamu ambae atakataa matunzo kutoka kwa mzazi mwenzie Ni wazi baba alikua hawajibiki Kama baba angekua na nia ya kulea mtoto tangu mwanzo mtoto angemjua baba yake na hizo hasira za uyo mama zisingekuwepo kiasi hicho wababa wanasemaga hawalei acha walelewe huko wakikua watanitafuta Sasa hiyo inatia hasira unawajibika kulea halafu unataka kufaidi matunda ya mtoto kkkk

Kwa akili ya haraka tu nimegundua huyo mama mwenyewe anashida ndio maana kumekuwa na kukosekana kwa ushirikiano wa kutoka upande wa pili.

Wanawake mjifunze sana binafsi nina mtoto yupo standard two namsomesha shule ya kulipia mwanzoni nilikuwa naletewa report za shule matokeo ya mitihani everything lkn saizi sijamuona mtoto since 28 December 2020 wala test na kila kitu nimelipa mpaka transpo je wapi nimekosea?

Je nikiamua kususa nikae pembeni itakuwaje ?
Mimi nilikuwa natoa matunzo since mtoto akiwa tumboni mpaka amezaliwa na ana mwaka mmoja sasa na bima ya afya nimemkatia akiwa na miezi miwili tu,cha ajabu anadai nimemtelekeza mtoto,kwa sababu baada ya kumlipia mahari kwao nikavunja uhusiano baada ya kuona si familia sahihi kuweza kuoa,kuna mambo yaliyotokea baada ya kulipa mahari,so now nimemwambia siwezi kutoa hata mia mpaka aende ustawi au mahakamani ili nitolee matunzo huko na imepita miezi miwili since nisitishe kutoa huduma kwa mtoto,kama unatoa matunzo na anakugeuka,je akifika miaka mitano akageuza kibao kuwa ulikuwa humtunzi mtoto je?
 
Mimi nilikuwa natoa matunzo since mtoto akiwa tumboni mpaka amezaliwa na ana mwaka mmoja sasa na bima ya afya nimemkatia akiwa na miezi miwili tu,cha ajabu anadai nimemtelekeza mtoto,kwa sababu baada ya kumlipia mahari kwao nikavunja uhusiano baada ya kuona si familia sahihi kuweza kuoa,kuna mambo yaliyotokea baada ya kulipa mahari,so now nimemwambia siwezi kutoa hata mia mpaka aende ustawi au mahakamani ili nitolee matunzo huko na imepita miezi miwili since nisitishe kutoa huduma kwa mtoto,kama unatoa matunzo na anakugeuka,je akifika miaka mitano akageuza kibao kuwa ulikuwa humtunzi mtoto je?
Wanawake pasua kichwa sana, pole sana mkuu nadhani mostly wanasumbuliwa na uwelewa mdogo
 
Wanawake pasua kichwa sana, pole sana mkuu nadhani mostly wanasumbuliwa na uwelewa mdogo
Sahihi mkuu! Na ananitishia kabisa kuwa sitakaa nimpate mtoto kwa sababu nimekataa kumuoa.Bahati nzuri nimemwambia kuwa ni wewe tu,hata majina ya mtoto badilisha kabisa,hutakaa uone sura yangu nije kudai mtoto,kama mungu atajalia nitapata kwengine kizazi ninacho.
 
Ukweli huru ni kuwa mtoto ni wa baba siku zote_wapo wamama wengi wenye uwezo wa kipesa na wengine wasio na chochote kile zaidi ya KIBURI na UJINGA ambao walijiaminisha kuwa 'wameweza kulea watoto wao wenyewe' bila ya msaada wowote ule toka kwa wababa husika na mwishowe WATOTO HAO HAO WAKAWAITA MAMA ZAO WACHAWI[emoji41]....
Mtoto ni wa mama, mama ndiye mtu pekee anayemjuwa Baba wa mtoto.

Hakuna mama wa kusingiziwa, na hata dini ya kiislamu mtoto mkizaa wa zinaa ni wa mama mwanaume uhusiki wala huwajibiki kwa lolote, ukimtunza ni ubinadamu wako tu.
 
Unafikiri Kama babaako alikukataa ukiwa mdogo ukienda kwake umeshakua mkubwa atakuambia nlikukataa? Au nilikwepa majukumu ya kukutunza? Lazima akubadilishie stori ukimpata babaako umeshakua mkubwa sio tegemezi tena lazima utamuona mwema Sana na atakupokea vzuri kweli kweli

Mamaako hawezi kukupeleka kwa babaako upate kuamua mwenyewe Kama Ni mzuri au mbaya kwasababu ya hasira mtu kashakukatalia mtoto na kukwepa majukumu unampeleka mtoto amjue ili iweje shida hujajiweka kwenye nafasi ya huyo mama
Kuna kitu nime jifunza Kwa wa Zanzibar wao ukizaa na mwanamke nje ya ndoa wana Amin mtoto siyo wao ni wa Mwanamke kwaiyo Mwanamke itakubid umtunze mwao tokea mdogo mpaka aweze kujitegemea bila msaada wowote kutoka kwa ndugu wa upande wa mwanaume, kuna rafiki yangu alizaliwa nje ya ndoa sasa kuna siku alienda Kwa Baba yake Baba yake aka mwambia ukiwa una kuja nyumba kuonana na Mimi husiniite Baba niite Mzee Juma, Yan nilishangaa kweli Nika staajabu kwel na nikawaza mbali .
 
Mtoto hana kosa hapo, ni haki yake kumjua baba yake.
Chuki za mama kwa baba zisimnyime haki mtoto kumjua baba yake na ndgu zake.
 
Sahihi mkuu! Na ananitishia kabisa kuwa sitakaa nimpate mtoto kwa sababu nimekataa kumuoa.Bahati nzuri nimemwambia kuwa ni wewe tu,hata majina ya mtoto badilisha kabisa,hutakaa uone sura yangu nije kudai mtoto,kama mungu atajalia nitapata kwengine kizazi ninacho.
Nimeshawahi kusikia mtu akiambiwa "eti mimi hunitaki unataka mtoto wako. Umesikia mimi ni mashine ya kufyatulia matofali? Nikisema mtoto si wako utanifanya nini?"

Hivi nani kawaambia wanawake kuwa kubeba mimba ya ndio kigezo cha kuolewa?
 
Kwa akili ya haraka tu nimegundua huyo mama mwenyewe anashida ndio maana kumekuwa na kukosekana kwa ushirikiano wa kutoka upande wa pili.

Wanawake mjifunze sana binafsi nina mtoto yupo standard two namsomesha shule ya kulipia mwanzoni nilikuwa naletewa report za shule matokeo ya mitihani everything lkn saizi sijamuona mtoto since 28 December 2020 wala test na kila kitu nimelipa mpaka transpo je wapi nimekosea?

Je nikiamua kususa nikae pembeni itakuwaje ?
Ushasema mtoto ukisusa umesusa mtoto siyo mama yake. Baba responsible inabidi ufuatilie kujua nini tatizo kwasababu malezi siyo kulipa ada na kutoa pesa ya matumizi tu.
 
Ushasema mtoto ukisusa umesusa mtoto siyo mama yake. Baba responsible inabidi ufuatilie kujua nini tatizo kwasababu malezi siyo kulipa ada na kutoa pesa ya matumizi tu.
Assume upo Kilimanjaro na mzazi mwenzio yupo mtwara na mtoto,utashiriki vipi malezi zaidi ya kutuma pesa ya matunzo?
 
Assume upo Kilimanjaro na mzazi mwenzio yupo mtwara na mtoto,utashiriki vipi malezi zaidi ya kutuma pesa ya matunzo?
Fuatilia mkuu ujue shida ni nini maana ukisema uache kutuma matumizi utakuwa umetelekeza mtoto asiye na hatia. Nevet give up on your kid
 
Nimeshawahi kusikia mtu akiambiwa "eti mimi hunitaki unataka mtoto wako. Umesikia mimi ni mashine ya kufyatulia matofali? Nikisema mtoto si wako utanifanya nini?"

Hivi nani kawaambia wanawake kuwa kubeba mimba ya ndio kigezo cha kuolewa?
Na hapo ndo shida inapoanzia, sometimes unakuta yeye ndo shida lkn analazimisha uvumilie upuuzi wake kwa sababu umezaa naye
 
Uzuri watoto wakishakua watajua tu. Kama baba alizengua kweli watajua, na wataamua wenyewe cha kufanya. Na kama ni maza alizengua watajua, japo wataendelea kumheshimu na kumshukuru kwa malezi. Wakishajua ni maza alizengua basi wenyewe wataweka uhusiano binafsi na baba na ndugu zao.
 
Mbomboooo pwejileeee....

Aidannah tafuta helaaa, narudi tafuta helaaaa.
Ukooo utakuja wenyeweee, maana saizi wanachunguliaaa chunguliaaa tuuuuu.
RIP baba
 
Mdada mmoja nimemwonyesha huu uzi hapa. Kasoma posts za page ya kwanza tu halafu akaniambia "Mwanaume kama hanitaki na mwanawe simpi. Huwezi kunidharau hivyo eti hunitaki lakini mtoto unamtaka. Yani mimi sikufai lakini mwanangu anakufaa. Toka na dharau zako kwendraaaaaa!"

Ndiyo nikajua kweli kuna wamama wana hasira. Najua atasoma hii post maana hii thread imemvutia kiaina. Bado namshauri asipeleke hasira zake kwa mtoto. Hicho ulichokosana na babake mtoto hakijui wala hakimhusu
 
Mtoto Hana kosa anahaki zote lakini mama lazima akasirike hakuna kitu kinatia hasira Kama kulea mtoto peke yako wakati babaake yupo Ana uwezo na hawajibiki kwa chochote
Ni kweli mama lazima akasirike na mtoto lazima uwe na huruma kwa mama / kwa mlezi wako. Mimi nimelelewa na mama na baba wa kambo ukoo wangu kwa baba nawajua ila sina Shobo nao na wale wachache niliowahi kukaa nao niliwaambia najisikia amani zaidi nikiwa na ndugu wa kwa mama kuliko kwa baba. Japo hawakunielewa / hawanielewi huo ni msimamo wangu. Nalia na aliyelia nami kipindi sijiwezi. Japo siyo kamanina pesa hapana.
 
Mdada mmoja nimemwonyesha huu uzi hapa. Kasoma posts za page ya kwanza tu halafu akaniambia "Mwanaume kama hanitaki na mwanawe simpi. Huwezi kunidharau hivyo eti hunitaki lakini mtoto unamtaka. Yani mimi sikufai lakini mwanangu anakufaa. Toka na dharau zako kwendraaaaaa!"

Ndiyo nikajua kweli kuna wamama wana hasira. Najua atasoma hii post maana hii thread imemvutia kiaina. Bado namshauri asipeleke hasira zake kwa mtoto. Hicho ulichokosana na babake mtoto hakijui wala hakimhusu
Kuna rafki yangu wakike yeye katelekezwa na bwana alie zaa nae mtoto sasa nili mwambie ulifanya makosa Sana kuzaa na jamii ya Baba mtoto wako Wana tabia ya kutelekeza watoto waki zaa nje ya ndoa, alikasilika Sana na kuanza kunitukana Kwa asila, wanawake walio zalishwa na kutelekezewa mtoto Wana kuwa na asila Sana moyon
 
Mama zetu wanatakiwa kuwa na msimamo,mfano,bwege akiikataa mimba,akamkataa na mtoto akizaliwa,basi,mama wa mtoto ajihesabie alibakwa na jambazi.

Mtoto anavyo kua awe anaelekezwa "nilibakwa na bwege moja kumbe jambazi,waliliua raia wenye hasira kali baada ya kulifumania likibaka mwanafunzi",hadi anakua mkubwa mtoto aelewe baba yake alikuwa jambazi wa ngono.

#uwemwendowakuharianatu
Inaonesha ulikataliwa na Baba yako
 
Back
Top Bottom