Sawa iko vizuri ila huwezi fananisha na toleo lake la tatu, kwanini nimemwambia achukue io?. Ni kwasababu kasema anataka achukue ya 2012 ambayo ni bora akaongeza pesa kidogo adake chuma kizuri zaidi.
Angekua anataka achukue za 2010 kushuka chini sawa hata nisingemshauri kitu, ila mtu anaechukua Outlander ya 2011 au 2012 bora aachane nazo achukue za kuanzia 2013 sio kwamba zina matatizo hapana ila zina tumia teknolojia iliyoboreshwa zaidi kuliko matoleo ya nyuma huko.
Sent from my CPH1989 using
JamiiForums mobile app