Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa Watanzania

Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa Watanzania

gari tamu saana iyo bablai
Haswaa sema nini hii gari kama mizunguko yako ni town trip itakupasua wallet kiaina ila ni safi tu. Yote tisa kama una route ndefu aisee ni kama haili mafuta tembea uwezavyo mafuta yanayotumika ni kidogo mno.

Kingine hii gari ni nzito, kuna ile uko high way 120-130km/h unapishana na lorry mzigo umetulia tuli sasa kuna baadhi ya vyuma ukipishama na lorry uko speed lazima utayumba tu
 
Tofauti ya grade hizo ni nini?
3.5 - 0 huwa zinakua zinafanyiwa marekebisho makubwa huenda zilipata ajari au shida nyingine tofauti na ajari zilizo sababisha gari kufanyiwa hayo marekebisho.

Ingawa kwa auction grade 3 na 3.5 unaweza iotea nzuri maana nyingi shida inakua sio ajari sana sana wanafanya overwhoul tu na zina anzia 100KM kuja juu huku mpaka 250KM ila zina hali nzuri mara chache sana kupigwa.

Ushauri, gari used nzuri ni zinazo anzia grade 4 - 6 ambazo ni chini ya 100KM. Elimu zaidi search google utapata maelezo zaidi.

Mimi nilijua hayo baada ya mtu kuagiziwa gari kimeo imefika imechoka baraa kama haijatoka japan watu wana zambi aisee[emoji3]
 
3.5 - 0 huwa zinakua zinafanyiwa marekebisho makubwa huenda zilipata ajari au shida nyingine tofauti na ajari zilizo sababisha gari kufanyiwa hayo marekebisho.

Ingawa kwa auction grade 3 na 3.5 unaweza iotea nzuri maana nyingi shida inakua sio ajari sana sana wanafanya overwhoul tu na zina anzia 100KM kuja juu huku mpaka 250KM ila zina hali nzuri mara chache sana kupigwa.

Ushauri, gari used nzuri ni zinazo anzia grade 4 - 6 ambazo ni chini ya 100KM. Elimu zaidi search google utapata maelezo zaidi.

Mimi nilijua hayo baada ya mtu kuagiziwa gari kimeo imefika imechoka baraa kama haijatoka japan watu wana zambi aisee[emoji3]
Hahahahaha sio poa aise.
 
Haswaa sema nini hii gari kama mizunguko yako ni town trip itakupasua wallet kiaina ila ni safi tu. Yote tisa kama una route ndefu aisee ni kama haili mafuta tembea uwezavyo mafuta yanayotumika ni kidogo mno.

Kingine hii gari ni nzito, kuna ile uko high way 120-130km/h unapishana na lorry mzigo umetulia tuli sasa kuna baadhi ya vyuma ukipishama na lorry uko speed lazima utayumba tu
Kuna hii outlander ya Cc1990-2000/
Una uzoefu nayo pia mkuu ukitoa ile ya cc 2350/2400
 
Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.

Gari hizi zinavitu vingi sana ambapo gari nyingine kama Toyota huwezi pata hasa ukilinganisha bei yake.

Mitsubishi outlander 2006 - 2015
1.Ni gari inakuja na charging system ya laptop, yaani unaweza kuchomeka switch sockate na ukaweka charger yako vizuri... Kwa kifupi
Gari hili linabadili umeme wa dc kwenda ac.
Kwa watu wanaopenda kutumia laptop wakiwa safari hii gari unaweza kutumia laptop toka Dar mpaka Mwanza, bila kuizima unafanya kazi tu au unaangalia series.

2.Gari hii inakuja na kifridge kidogo kuweka vivywaji uwapo safarini.

3.Gari hii ina option ya 4WD

4.Gari hii inakuambia muda wa kupumzika ukichoka safarini.

5. Gari hii inakuja na mziki mziti yaani subwoofer isiyojaza buti.

6.Gari inakuja na seat 7.

7.Gari hii ina option ya manual na automatic.

8. GARI hii ina gear 6, inaifanya itumie mafuta kidogo.

Hii gari bei yake ipo chini ya kina harrier, kulger na Vanguard. Kitu ambacho hivi vitu vyote vingekuwa kwenye hizo gari bei zake zisinge shikika.
picha ya gari tafazali
 
Haswaa sema nini hii gari kama mizunguko yako ni town trip itakupasua wallet kiaina ila ni safi tu. Yote tisa kama una route ndefu aisee ni kama haili mafuta tembea uwezavyo mafuta yanayotumika ni kidogo mno.

Kingine hii gari ni nzito, kuna ile uko high way 120-130km/h unapishana na lorry mzigo umetulia tuli sasa kuna baadhi ya vyuma ukipishama na lorry uko speed lazima utayumba tu
Asante sana kwa maelezo mazuri.
Lita Moja inatembea km ngapi?
 
Back
Top Bottom