Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa Watanzania

Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa Watanzania

Waswahili bana huwa tunapokezana taarifa nyingine hata zisizo na uhakika.

Hivi kweli kwenye ushindani wote wa soko Kampuni kubwa kama hiyo itengeneze Gari dhaifu ili iweje? hii hata haingii akilini.

Nilichojifunza ni kuwa huwa kunakuwa tu na kasumba au tabia ya Jamii kuamini Gari za aina fulani, wakati mwingine kigezo kinakuwa ni bei au kuigana tu.

Kwa mfano kuna Nchi moja kule Asia ukienda utashangaa Magari ya KIA yalivyo mengi na maisha yanaenda....sasa muombe ushauri Mbongo kwamba unataka kununua KIA uone atakavyoziponda.
Oman Hyundai na KIA zimejazana kama uchafu ila huku Bongo ukiwa nazo unaonekana unatembea na jipu na muda wowote litatumbuka.
 
Waswahili bana huwa tunapokezana taarifa nyingine hata zisizo na uhakika.

Hivi kweli kwenye ushindani wote wa soko Kampuni kubwa kama hiyo itengeneze Gari dhaifu ili iweje? hii hata haingii akilini.

Nilichojifunza ni kuwa huwa kunakuwa tu na kasumba au tabia ya Jamii kuamini Gari za aina fulani, wakati mwingine kigezo kinakuwa ni bei au kuigana tu.

Kwa mfano kuna Nchi moja kule Asia ukienda utashangaa Magari ya KIA yalivyo mengi na maisha yanaenda....sasa muombe ushauri Mbongo kwamba unataka kununua KIA uone atakavyoziponda.
Kuna vitu vinatuharibu sana bongo na mojawapo ni:
1. Umasikini....tunataka gari za kimasikini za kubana matumizi.
Utasiki achana na suzuki au mitsubish spea zake ni ghali na badala yake nunua noah sr40.

...hebu tuangalie utofauti na ughali wa spea.
Mfano ukinunua shock absorber moja ya mitsubishi ni 180k na inadumu zaidi ya miaka 3, noah shock absorber yake ni 60k lakini haimalizi mwaka mmoja.
Hapa ipi ni ghali?
Tatizo tunafuata mkumbo.

2. Kupokea maneno ya uzushi kutoka tena vijiweni au hata mtu ambaye hajawahi kuendesha gari

3. Mafundi uchwara wanaposhindwa kurekebisha tatizo walisingizia gari
 
Kuna vitu vinatuharibu sana bongo na mojawapo ni:
1. Umasikini....tunataka gari za kimasikini za kubana matumizi.
Utasiki achana na suzuki au mitsubish spea zake ni ghali na badala yake nunua noah sr40.

...hebu tuangalie utofauti na ughali wa spea.
Mfano ukinunua shock absorber moja ya mitsubishi ni 180k na inadumu zaidi ya miaka 3, noah shock absorber yake ni 60k lakini haimalizi mwaka mmoja.
Hapa ipi ni ghali?
Tatizo tunafuata mkumbo.

2. Kupokea maneno ya uzushi kutoka tena vijiweni au hata mtu ambaye hajawahi kuendesha gari

3. Mafundi uchwara wanaposhindwa kurekebisha tatizo walisingizia gari
Poti agiza kinywaji nakuja kulipa
 
Acha uboya, Toyota ina vibrate dashboard sababu mounting haziko sawa. Weka mounting zote ziwe sawa uone kama kuna mtetemo wowote utaupata. Au nenda Yard yeyote kawashe Carina Ti uone kama itakuwa na mtetemo.
2853962_FB_IMG_1626106580462.jpg

Kamguu ka harrier.
2856257_IMG_20210724_221258_685.jpg
Mguu wa porsche cayenne.
 
Chief hata ya 2010 ni moto sana
Sawa iko vizuri ila huwezi fananisha na toleo lake la tatu, kwanini nimemwambia achukue io?. Ni kwasababu kasema anataka achukue ya 2012 ambayo ni bora akaongeza pesa kidogo adake chuma kizuri zaidi.

Angekua anataka achukue za 2010 kushuka chini sawa hata nisingemshauri kitu, ila mtu anaechukua Outlander ya 2011 au 2012 bora aachane nazo achukue za kuanzia 2013 sio kwamba zina matatizo hapana ila zina tumia teknolojia iliyoboreshwa zaidi kuliko matoleo ya nyuma huko.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Sawa iko vizuri ila huwezi fananisha na toleo lake la tatu, kwanini nimemwambia achukue io?. Ni kwasababu kasema anataka achukue ya 2012 ambayo ni bora akaongeza pesa kidogo adake chuma kizuri zaidi.

Angekua anataka achukue za 2010 kushuka chini sawa hata nisingemshauri kitu, ila mtu anaechukua Outlander ya 2011 au 2012 bora aachane nazo achukue za kuanzia 2013 sio kwamba zina matatizo hapana ila zina tumia teknolojia iliyoboreshwa zaidi kuliko matoleo ya nyuma huko.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
Ya 2013 nzuri pia japo Sokoni pia bei yake itakua juu zaidi hizo new models
 
Hapo jamaa wamethibitisha kuwa kweli gari ni porsche. 🤣 Yani expensive haswa kuanzia material.

Hizo parts za miguu ukiziyeyusha unapata seti nzima ya masufuria na sinia la kulia pilau.
HahaHa ukiyeyusha vile vispoku vya haria pale juu nina uhakika unapata kakijiko ka kulia cha kula na kasufuria ka kuchemshia chai kikombe kimoja.
 
Back
Top Bottom