Hujanielewa ni kwamba io dollar mia nane mpaka elfu mbili ataiongezea, mfano Outlander za chini ya 2012 ni $5000. Yeye hapo inabidi ajiandae kuongezea pesa ili apate za 2013.ni $4000 huko
Zakuhesabu, sema tra ndio wanatuua sana kwenye kodi, hapa naiwaza hii ya 2023 naangalia review zake tu ina unyama sana ila kuimiliki labda 2030 huko si upuuzi huu. [emoji3][emoji3]OUtlander ya kuanzia 2013 nimeiona nzuri sana...ila kibongo bongo sio nyingi sana
Gari ambazo naona zimeanza kuagizwa sana ni kluger new models
Hakuna Engine ya Mitsubishi iliyo na ubora huoGari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.
Gari hizi zinavitu vingi sana ambapo gari nyingine kama Toyota huwezi pata hasa ukilinganisha bei yake.
Mitsubishi outlander 2006 - 2015
1.Ni gari inakuja na charging system ya laptop, yaani unaweza kuchomeka switch sockate na ukaweka charger yako vizuri... Kwa kifupi
Gari hili linabadili umeme wa dc kwenda ac.
Kwa watu wanaopenda kutumia laptop wakiwa safari hii gari unaweza kutumia laptop toka Dar mpaka Mwanza, bila kuizima unafanya kazi tu au unaangalia series.
2.Gari hii inakuja na kifridge kidogo kuweka vivywaji uwapo safarini.
3.Gari hii ina option ya 4WD
4.Gari hii inakuambia muda wa kupumzika ukichoka safarini.
5. Gari hii inakuja na mziki mziti yaani subwoofer isiyojaza buti.
6.Gari inakuja na seat 7.
7.Gari hii ina option ya manual na automatic.
8. GARI hii ina gear 6, inaifanya itumie mafuta kidogo.
Hii gari bei yake ipo chini ya kina harrier, kulger na Vanguard. Kitu ambacho hivi vitu vyote vingekuwa kwenye hizo gari bei zake zisinge shikika.
Au ninunue tu pajero mini nianze nayo maishaZakuhesabu, sema tra ndio wanatuua sana kwenye kodi, hapa naiwaza hii ya 2023 naangalia review zake tu ina unyama sana ila kuimiliki labda 2030 huko si upuuzi huu. [emoji3][emoji3]
Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
Hakuna Engine ya Mitsubishi iliyo na ubora huo
[emoji3][emoji3][emoji3]Au ninunue tu pajero mini nianze nayo maisha
link ya whatsaap ya wamiliki wa outlander. nitaipataje[emoji3][emoji3][emoji3]
Wagonga nyundo wakuharibie gari mzee, sema ukiwa unahangaikia service mwenyewe fresh tu mi sina uzoefu nazo hizo ila nasikia ni nzuri shida mafundi wetu tu.
Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
Nahitaji msaada wa kumpata fundi competent wa mitsubish outlander.Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.
Gari hizi zinavitu vingi sana ambapo gari nyingine kama Toyota huwezi pata hasa ukilinganisha bei yake.
Mitsubishi outlander 2006 - 2015
1.Ni gari inakuja na charging system ya laptop, yaani unaweza kuchomeka switch sockate na ukaweka charger yako vizuri... Kwa kifupi
Gari hili linabadili umeme wa dc kwenda ac.
Kwa watu wanaopenda kutumia laptop wakiwa safari hii gari unaweza kutumia laptop toka Dar mpaka Mwanza, bila kuizima unafanya kazi tu au unaangalia series.
2.Gari hii inakuja na kifridge kidogo kuweka vivywaji uwapo safarini.
3.Gari hii ina option ya 4WD
4.Gari hii inakuambia muda wa kupumzika ukichoka safarini.
5. Gari hii inakuja na mziki mziti yaani subwoofer isiyojaza buti.
6.Gari inakuja na seat 7.
7.Gari hii ina option ya manual na automatic.
8. GARI hii ina gear 6, inaifanya itumie mafuta kidogo.
Hii gari bei yake ipo chini ya kina harrier, kulger na Vanguard. Kitu ambacho hivi vitu vyote vingekuwa kwenye hizo gari bei zake zisinge shikika.
Gari za South KoreaOman Hyundai na KIA zimejazana kama uchafu ila huku Bongo ukiwa nazo unaonekana unatembea na jipu na muda wowote litatumbuka.
Aisee hivi kuna link ya watu wa Outlander? Ukiipata naomba na mimi jamaa.link ya whatsaap ya wamiliki wa outlander. nitaipataje
Ina shida gani mkuu?Nahitaji msaada wa kumpata fundi competent wa mitsubish outlander.
Natanguliza shukrani
Unakanushaje kwa sentensi moja weka nondo tusome vinginevyo unaleta blah blah.Hakuna Engine ya Mitsubishi iliyo na ubora huo
Hii chuma inatua next month ipo kwenye maji sasa hivi ila bado ninahitaji ku ingage na wazoefu wa hizi vyuma wanielekeze mitaa mizuri ambayo wao huwa wanapeleka kuzipiga spana incase ikitokea tatizo.Ina shida gani mkuu?
Kama uko Dar zipo garage nzuri za kufanya hayo just in case ila uwe positive usiwaze sana hizo mambo. Ni kama vile unatarajia kupata mtoto afu unaanza kuwaza akiugua itakuaje, stay positive garage zipo nyingi hata kama hauko Dar huko huko ulipo utapata fundi/garage nzuri mkuu.Hii chuma inatua next month ipo kwenye maji sasa hivi ila bado ninahitaji ku ingage na wazoefu wa hizi vyuma wanielekeze mitaa mizuri ambayo wao huwa wanapeleka kuzipiga spana incase ikitokea tatizo.
Natanguliza shukrani
Aise ukipata muda utupe benefits kidogo unazopata kwa outlander ukicompare na SUV zingine za kawaidaKama uko Dar zipo garage nzuri za kufanya hayo just in case ila uwe positive usiwaze sana hizo mambo. Ni kama vile unatarajia kupata mtoto afu unaanza kuwaza akiugua itakuaje, stay positive garage zipo nyingi hata kama hauko Dar huko huko ulipo utapata fundi/garage nzuri mkuu.
Nikupongeze tena kwa kuchagua huyu mnyama Mie namuelewa vyema na wala sijutii kumnunua.
Aisee hivi kuna link ya watu wa Outlander? Ukiipata naomba na mimi jamaa
Nipo dsm mkuuKama uko Dar zipo garage nzuri za kufanya hayo just in case ila uwe positive usiwaze sana hizo mambo. Ni kama vile unatarajia kupata mtoto afu unaanza kuwaza akiugua itakuaje, stay positive garage zipo nyingi hata kama hauko Dar huko huko ulipo utapata fundi/garage nzuri mkuu.
Nikupongeze tena kwa kuchagua huyu mnyama Mie namuelewa vyema na wala sijutii kumnunua.
poa poa mkuuAisee hivi kuna link ya watu wa Outlander? Ukiipata naomba na mimi jamaa.
gari tamu saana iyo bablaiBei sio mbaya View attachment 2499744