Umetafuta mabaya ya mwanza yote ukaona ni uwanja wa ccm kirumba na uwanja wa ndege wa mwanza, sasa na kuuliza uwanja w sheikh amri abeid na ccm kirumba upi ni bora? Pia kati ya airport ya Mwanza na ya arusha ipi ni bora kuliko nyingine? Wivu hautakufikisha popote.Hivi jamani hiyo Mwanza inavyosifiwa ni kweli maana nimefika mwanza Airport duu nikaenda stendi ndio usiseme, ccm kirumba nikajua pengine nimepotea njia ila all in all watu huwa wanasifia vitu kulingana na mapenzi tuu. Kipindi cha magufuli aliparekebjsha sana. Wekeni hata sanamu ya kumbukumbu
Anajua vile vibanda vya mama ntilie ndio mahotel, alitaka akute vimejazana stand Arusha.Arusha hakuna mahotel? Itakuwa ajabu kama unaiona Arusha hapa Tanzania kama mji usiokuwa na mahotel. Utakuwa hujawahi kufika Arusha.
Yaani umepiga picha gari moja ukiwa hapo Moshi kidimbwi bar unataka kutuaminisha ndio stand ya Moshi iko hivyo?View attachment 2298179Usilie huu ndo uchafu wa Moshi!
futa kauli yako ya stand kali maana hata tukizitaja 15 bora ya moshi haipo
Picha ingependeza zaidiKatika kipindi hichi cha mwezi wa sita hadi mwishoni mwa mwaka tumeshuhudia kabisa idadi ya watalii ilivo kubwa na inazidi ikiongezeka kadri siku zinavyozidi kwenda katika miji hii miwili ya kitalii.
Ni aibu kwa mji wa kitalii kama Arusha na Moshi kuwa na aina ya masoko na vituo vya mabasi makubwa ya kwenda mikoani kama vilivyopo.
Masoko pamoja na vituo vya Mabasi makubwa ni vile vile vya tangu tupate uhuru, hamna ujenzi wowote uliofanyika kuendana na Ongezeka la idadi ya watu pamoja na ukuaji wa miji na teknolojia.
Rushwa na siasa imekuwa ikitawala haswa katika miji hii kuhusiana na wapi pajengwe kituo cha mabasi makubwa,swala hilo ndio haswa limekuwa likichelewesha ujenzi wa miundombinu muhimu ya masoko ya kisasa pamoja na stand ya mabasi makubwa ya mikoani.
Kukosekana au kucheleweshwa kwa ujenzi wa miundombinu muhimu kama hiyo inasababisha pia ucheleweshaji kwenye uwekezaji katika mambo mbalimbali ikiwemo viwanda, Sekta za utalii nk.
Ni wakati sasa wa viongozi wa miji hii miwili mikubwa kuweka siasa pembeni na kufanya uboreshaji wa miundombinu
Waambie hivi: Ni wengi wangependa kupanda magari ya kawaida ili waweze ku-experince local life and culture lakini wanashindwa kwa sababu ya haya uliyoelezea. Ukiwa miji ya Ulaya, watalii wengi kabisa wanatumia usafiri wa umma. Pengine sisi tunadhani utalii ni kutembelea mbuga za wanyama tu ndiyo maana hatujishughulishi na vivutio vingine.Sio wote wanaotumia zile cruiser za kitalii, wengine hupanda Costa na mabasi kwa trips za Arusha to moshi, lushoto, na wengine huoendelea pia kutembelea masoko ya ndani pamoja na kununua vitu humo
Nadhani wewe unabisha kitu ambacho huna upeo nacho. Watalii wanakwepa usafiri wa umma kwa sababu alizozisema mwanzisha thread. Kama hujawahi kwenda majuu basi siku utakayoenda utakubaliana na ninachosema.Hakuna mtalii anayesafiri kwa costa wala. Hata kulala lodge za kawaida tu hairuhusiwi. Pia siyo kila mzungu ni mtalii, wengine wako kazini
Huyo amekariri utalii wa mbugani tu.Sio wote wanaotumia zile cruiser za kitalii, wengine hupanda Costa na mabasi kwa trips za Arusha to moshi, lushoto, na wengine huoendelea pia kutembelea masoko ya ndani pamoja na kununua vitu humo
Kwenye mahoteli, majengo mazuri, miundo mbinu ya barabara na Mandhari Arusha wako vizuri zaidi kuliko Mwanza, lakini kwenye stand ya mabasi Arusha ni sifuri.
Hivi jamani hiyo Mwanza inavyosifiwa ni kweli maana nimefika mwanza Airport duu nikaenda stendi ndio usiseme, ccm kirumba nikajua pengine nimepotea njia ila all in all watu huwa wanasifia vitu kulingana na mapenzi tuu. Kipindi cha magufuli aliparekebjsha sana. Wekeni hata sanamu ya kumbukumbu
Hivi umeiona stand mpya inajengwa? Huenda ikawa ya kwanza ama ya pili kwa ubora nchini. Kuna mdau mmoja hapo ameambatanisha stand ya geita na moshi, zinatofauti gani!! Tembeeni muone miji, na sio kukaa moshi tu,Unaongela Moshi ipi? Ukiachilia mbali stand ya Magufuli kuna mji wenye stand nzuri kuliko ya Moshi?
NB: unajua kuwa watalii hutumia magari ya kampuni za utalii na siyo usafiri wa umma?