Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hizi siku tatiu
NImEKUWA na shida sana na mtandao WA max yas
Imefika wakati UNANUNUA luku token za. Tanesco huzion
Unapiga OFISIN mfanyakazi anawaza kupokea simu 10 mins kama ANAPOKEA condom
Sio hayo tu HATA kununua bundle imekuwa shida
Na Hilo bundle ukinunua kulifanyia kazi shida una gb 1
Docs ya mb 50 inachukua dk kadhaa kufungukaaa kama wanamsubuiri zelesky
EMBU badilikrn nyie madada na makaka HAPO OFISIN wengine bila umeme hakuna kazi
Leo nimenunua umeme WA alf 50000. Niingize nkashangaa token haiji
Nawapigia wakachukua 10 mins kupokea
Wanapokea WANASEMA hawawezi kuzisoma token nipige BAADA ya dk 30. Aisee
Badaee napiga naambiwa andika namba za LUKU nikawambia ntumien kwenye mesg nkajibiwa kuna shida ya mtandao ikichelewa KUFIKA usiilalamike. Doooh
Nkaandika namba namalizia nimenaliza nikawambia kwa hili kesho Niko OFISIN kwenu
Nakataa nasikia msg kwiduu kha kuangalia namba za LUKU
YAAN n uvivu tu EMBU jalini wateja umeme WA 50000. Tumesimamisha kazi kiasi gani imagine
Mbadilike
NImEKUWA na shida sana na mtandao WA max yas
Imefika wakati UNANUNUA luku token za. Tanesco huzion
Unapiga OFISIN mfanyakazi anawaza kupokea simu 10 mins kama ANAPOKEA condom
Sio hayo tu HATA kununua bundle imekuwa shida
Na Hilo bundle ukinunua kulifanyia kazi shida una gb 1
Docs ya mb 50 inachukua dk kadhaa kufungukaaa kama wanamsubuiri zelesky
EMBU badilikrn nyie madada na makaka HAPO OFISIN wengine bila umeme hakuna kazi
Leo nimenunua umeme WA alf 50000. Niingize nkashangaa token haiji
Nawapigia wakachukua 10 mins kupokea
Wanapokea WANASEMA hawawezi kuzisoma token nipige BAADA ya dk 30. Aisee
Badaee napiga naambiwa andika namba za LUKU nikawambia ntumien kwenye mesg nkajibiwa kuna shida ya mtandao ikichelewa KUFIKA usiilalamike. Doooh
Nkaandika namba namalizia nimenaliza nikawambia kwa hili kesho Niko OFISIN kwenu
Nakataa nasikia msg kwiduu kha kuangalia namba za LUKU
YAAN n uvivu tu EMBU jalini wateja umeme WA 50000. Tumesimamisha kazi kiasi gani imagine
Mbadilike