Mix by Yas mnatutesa sana kuanzia huduma zenu mpaka hao huduma kwa wateja yenu

Mix by Yas mnatutesa sana kuanzia huduma zenu mpaka hao huduma kwa wateja yenu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hizi siku tatiu

NImEKUWA na shida sana na mtandao WA max yas

Imefika wakati UNANUNUA luku token za. Tanesco huzion

Unapiga OFISIN mfanyakazi anawaza kupokea simu 10 mins kama ANAPOKEA condom

Sio hayo tu HATA kununua bundle imekuwa shida

Na Hilo bundle ukinunua kulifanyia kazi shida una gb 1
Docs ya mb 50 inachukua dk kadhaa kufungukaaa kama wanamsubuiri zelesky

EMBU badilikrn nyie madada na makaka HAPO OFISIN wengine bila umeme hakuna kazi

Leo nimenunua umeme WA alf 50000. Niingize nkashangaa token haiji

Nawapigia wakachukua 10 mins kupokea

Wanapokea WANASEMA hawawezi kuzisoma token nipige BAADA ya dk 30. Aisee

Badaee napiga naambiwa andika namba za LUKU nikawambia ntumien kwenye mesg nkajibiwa kuna shida ya mtandao ikichelewa KUFIKA usiilalamike. Doooh

Nkaandika namba namalizia nimenaliza nikawambia kwa hili kesho Niko OFISIN kwenu

Nakataa nasikia msg kwiduu kha kuangalia namba za LUKU

YAAN n uvivu tu EMBU jalini wateja umeme WA 50000. Tumesimamisha kazi kiasi gani imagine

Mbadilike
 
Hizi siku tatiu

NImEKUWA na shida sana na mtandao WA max yas

Imefika wakati UNANUNUA luku token za. Tanesco huzion

Unapiga OFISIN mfanyakazi anawaza kupokea simu 10 mins kama ANAPOKEA condom

Sio hayo tu HATA kununua bundle imekuwa shida

Na Hilo bundle ukinunua kulifanyia kazi shida una gb 1
Docs ya mb 50 inachukua dk kadhaa kufungukaaa kama wanamsubuiri zelesky

EMBU badilikrn nyie madada na makaka HAPO OFISIN wengine bila umeme hakuna kazi

Leo nimenunua umeme WA alf 50000. Niingize nkashangaa token haiji

Nawapigia wakachukua 10 mins kupokea

Wanapokea WANASEMA hawawezi kuzisoma token nipige BAADA ya dk 30. Aisee

Badaee napiga naambiwa andika namba za LUKU nikawambia ntumien kwenye mesg nkajibiwa kuna shida ya mtandao ikichelewa KUFIKA usiilalamike. Doooh

Nkaandika namba namalizia nimenaliza nikawambia kwa hili kesho Niko OFISIN kwenu

Nakataa nasikia msg kwiduu kha kuangalia namba za LUKU

YAAN n uvivu tu EMBU jalini wateja umeme WA 50000. Tumesimamisha kazi kiasi gani imagine

Mbadilike
Siku hiz ukiweka hela hupokei ujumbe. Wehu kwelikweli hawa
 
Back
Top Bottom