Mixed Education System: Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini?

Mixed Education System: Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au Secondary Level?

Ninapoongelea mzazi wa kipato cha chini kwenye muktadha huu nina maana kwamba ni yule ambaye anatamani mtoto wake asome katika Private School ila hawezi kumudu gharama za kuanzia darasa la kwanza mpaka form six. Yeye anaweza kumudu Level moja tu baaas.

Kama mtoto atasoma primary level katika Private School basi secondary level atasomea katika shule ya Serikali na vice versa.

Kuna jirani yangu nipo nae hapa anadai ni bora mtoto aanzie elimu ya msingi katika Private School ili apate msingi bora wa lugha ya kiingereza hata akienda secondary anaelewa masomo kwa ufasaha.

Classmate wangu Beautiful Nkosazana yeye alikuwa anadai eti ni bora mtoto akaanza Primary Level katika shule ya serikali ili akienda Secoary katika Private School anakuwa tayari amekomaa vema kiakili na anaweza kujimudi.

HII IMEKAA VP NDUGU ZANGU?

WEWE UNANISHAURIJE KAKA/DADA YANGU?

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Primary level means ni very essential, period
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au Secondary Level?

Ninapoongelea mzazi wa kipato cha chini kwenye muktadha huu nina maana kwamba ni yule ambaye anatamani mtoto wake asome katika Private School ila hawezi kumudu gharama za kuanzia darasa la kwanza mpaka form six. Yeye anaweza kumudu Level moja tu baaas.

Kama mtoto atasoma primary level katika Private School basi secondary level atasomea katika shule ya Serikali na vice versa.

Kuna jirani yangu nipo nae hapa anadai ni bora mtoto aanzie elimu ya msingi katika Private School ili apate msingi bora wa lugha ya kiingereza hata akienda secondary anaelewa masomo kwa ufasaha.

Classmate wangu Beautiful Nkosazana yeye alikuwa anadai eti ni bora mtoto akaanza Primary Level katika shule ya serikali ili akienda Secoary katika Private School anakuwa tayari amekomaa vema kiakili na anaweza kujimudi.

HII IMEKAA VP NDUGU ZANGU?

WEWE UNANISHAURIJE KAKA/DADA YANGU?

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Poa poa kijana wangu
 
Kiuhalisia shule za O level za serikali sio nzuri, muda sahihi primary school awe government O level aende private Advance shule za government ziko vz sna
 
Mi ni mwalimu wa sec!Nakushauri uangalie uwezo wa mtoto!!kama Bogus peleka private hizo ndio shule za mabogus!kama ana uwezo peleka government schools kuanzia msingi hadi chuo!ukimfuatilia kwa kina na tuition hapa na pale!!mwambie kwanini unamsomesha!!NI VIZURI MTOTO KUPATA MALEZI YA NYUMBANI ANGALAU MSINGI HADI SECONDARI AKAWEZA KUJITEGEMEA KIMATENDO KULIKO KUMPELEKA PRIVATE AKAWE KUKU WA KISASA ASIEJUA KUPIGA HATA NDEGE KWA MANATI AU KUPEPETA MAHINDI!PRIVATE ZINAANDAA MAROBOTI NA SIO WATU!!!MIMI FULL GOVERNMENT FROM PRIMARY TO UDSM!!
 
Nakupa mfano Kuna dogo mmoja wa shangazi yangu alikuwa anasomaa private but primary level yaani mpaka anamaliza nafasi zake ni za mwisho mwisho Kati ya wanafunzi wote , alivyoenda sekondari ya serikali dadeq anawaburuza ila kwa uchache kwny masomo ya hesabu
 
Primary School is everything!!ndio msingi..hutojuta

Kwetu tumesoma private primary, sec mix private n govt na Mungu katujalia Div 1 zilitawala kwetu

Kuna ndugu yetu pia primary english medium o level Mtoto kaenda shule ya kata kabisaa ila katoka na Div 1.9 ndugu msomaji
 
Classmate wangu Beautiful Nkosazana yeye alikuwa anadai eti ni bora mtoto akaanza Primary Level katika shule ya serikali ili akienda Secondary katika Private School anakuwa tayari amekomaa vema kiakili na anaweza kujimudu.

Huyo Nkosazana sijui Mkosa Zana kazingua, sasa huko Private kuna ugumu gani hadi aende akiwa amekomaa!

Mazingira ni friendly kwa private hivyo ni bora kupeleka mtoto mdogo, mkubwa ndo akapambane kugombea ugali sekondari ya serikali... assuming that atafaulu vizuri la saba na kupata shule ya bweni.
 
Private Primary School, O-level Secondary aende government school.
Ukiweza A-level mrudishe private.

Primary ndiyo msingi wa kila kitu, huwezi kujenga nyumba imara na bora juu ya msingi mbovu.
 
Vitu wanavyo soma English Medium Schools kuanzia darasa la 4 na kuendelea ni mambo ya secondary schools kabisa.
Ukimpa mtoto wa darasa la 5 wa english medium school mtihani wa o-level secondary wa Civics, Geography au English(isiwe literature) anaweza kupata 50% hadi 70%.

Kwenye sayansi (Physics, Math na Biology) wanayosoma darasa la 5 ni kama ya Form Two.
Hapa tuzungumze ENGLISH MEDIUM SCHOOLS vs MTAALA WA KISWAHILI maana hata serikali ina shule za mchepuo wa kiingereza kama za binafsi (private). Wanasoma kila kitu sawa kwa lugha ileile.
 
Hii ni point nzuri sana
Ndoto mtoto anaipigania mwenyewe!we toa Basic needs tu!!Hayo ma private ma english media ni kujipatia msongo wa mawazo tu!!!!TULIZALIWA ILI TUTAWALE NATURE NA SIO KUFUNGIWA NDANI KAMA KUKU WA KISASA!!KWANGU MIMI KIJANA ALIEPATA DIV 3 KATA NI BORA KULIKO DIV 1 PRIVATE!KWA EXPOSURE NA EXPERIENCE YA MAISHA NA KU STRUGGLE IN LIFE!!!
 
Ndoto mtoto anaipigania mwenyewe!we toa Basic needs tu!!Hayo ma private ma english media ni kujipatia msongo wa mawazo tu!!!!TULIZALIWA ILI TUTAWALE NATURE NA SIO KUFUNGIWA NDANI KAMA KUKU WA KISASA!!KWANGU MIMI KIJANA ALIEPATA DIV 3 KATA NI BORA KULIKO DIV 1 PRIVATE!KWA EXPOSURE NA EXPERIENCE YA MAISHA NA KU STRUGGLE IN LIFE!!!
umeandika ki-komandoo
 
Back
Top Bottom