Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
Kufuatiliana sana maisha sio poaNatuma salam kwa wale watu wanaopenda kujua wenzao wanafanya kazi wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufuatiliana sana maisha sio poaNatuma salam kwa wale watu wanaopenda kujua wenzao wanafanya kazi wapi.
Wewe wasemaPrimary school ndo msingi
Sawa mkuu...Mkianza form 1 kuna utofauti kati ya alietoka Mary Mary na Kayumba
Sawa mwalimu, shkamoo mwalimuMi ni mwalimu wa sec!Nakushauri uangalie uwezo wa mtoto!!kama Bogus peleka private hizo ndio shule za mabogus!kama ana uwezo peleka government schools kuanzia msingi hadi chuo!ukimfuatilia kwa kina na tuition hapa na pale!!mwambie kwanini unamsomesha!!NI VIZURI MTOTO KUPATA MALEZI YA NYUMBANI ANGALAU MSINGI HADI SECONDARI AKAWEZA KUJITEGEMEA KIMATENDO KULIKO KUMPELEKA PRIVATE AKAWE KUKU WA KISASA ASIEJUA KUPIGA HATA NDEGE KWA MANATI AU KUPEPETA MAHINDI!PRIVATE ZINAANDAA MAROBOTI NA SIO WATU!!!MIMI FULL GOVERNMENT FROM PRIMARY TO UDSM!!
Kwako, trafik na mapopoma wengine mkuu.Kujieleza kwa Kiingereza, kujieleza kwa nani, trafiki wa barabarani??
Hili neno "mapopoma" lina maana gani?Kwako, trafik na mapopoma wengine mkuu.
Mimi pia ninaruhusiwa kuitikia "marahaba" kama mwalimu wa zamani?Sawa mwalimu, shkamoo mwalimu
Hahaaaa shenzi kabisa!Natuma salam kwa wale watu wanaopenda kujua wenzao wanafanya kazi wapi.
Huu sasa wivuSasa hivi upo Halmashauri gani Kikazi?
heheheeeeeHuu sasa wivu
Wivu wa nini tena bibie?Huu sasa wivu
Sawa mtoto mzuri mrembo wanguFoundation is the better ( primary school )
Sawa mtoto mzuri mrembo wangu
Tangazo la biashara hahahahaaaaa. Wewe kaka umetisha