Mixer Za Konyagi

Mixer Za Konyagi

21897713, member: 285395"]Good 4 u aseee.....m nlkaaga mwez badae nkashndwa...ad leo hua najtaid sana bt holla.....an most of frnds zng n mulemule....[/QUOTE]


hahahaha tafuta starehe nyingine! yaan kuwa na uchungu na hyo hela unayoitumia kwa pombe! miwe siku nikiamua kulanduka hua najilanduikia tu,ila sipelekeshwi na kiu! kubali kbs moyon kuwa unataka kuacha
 
Konyagi unaikosea sana kuimix na vitu vya kijinga,- vi tonic, 7up, bitter lemon ma maji au hata coca. Konyagi raha yake ipige kavu kavu mazee. Kama vipi tengeneza cocktail yako mwenyewe - changanya na dompo, Amarula, au bia ya aina yeyote ile. hahaaaa. Ni raha iliyoje chalii yangu?
Nikichanganya na biaa hasa safari kuchwa kinauma balaaa,..nalewa mapema,
 
hahahahah huna lolote yaan ww ht wine hugusi kwa mwandiko wako huo unaonesha tu saint
[emoji15] [emoji15] ntake radhiii Mrs flan unanikosea[emoji17] [emoji17] daaah kwahiyo mm wa fanta kipapipapi???[emoji21]
 
Back
Top Bottom