Pre GE2025 Mizengo Pinda anaweza kumsaidia vyema Sana Rais Samia Umakamu Mwenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila blaza muonee huruma, kaomba kuelimishwa na umempa elimu swaafi
 
No,Mizengo siafiki kwa sasa,pale panahitaji mtu tough kidogo,kule kwenye chama kuna watu wana guvu sana na ndio wanamyumbisha mama,sasa kama akimuweka Mizengo kuna hatari wakamburuza...
Kwa taarifa yako Mh Mizengo ni mtu imara na anayebadiki kulingana na mazingira.
 
Nafasi hiyo inamfaa sana Mheshimiwa Pinda kutokana na uzoefu alio nao
Kwa nini unadharau uzoefu wako? Jipigie debe uwe Makamu Mwenyekiti. Uzuri Nafasi hiyo majukumu yake yameanishwa kwenye katiba ya Chama na nyongeza ya kanuni zi Chama. Uzoefu wa wengine utaupata humo humo kwa Sasa tumia uzoefu wako
 
Ushaonaaa kile choose cha kupeleka ma Joe Biden eeeh

Yuleeee mwinginee kangatukaaa

Huyuu kareisgn

Anaekujaaaa plsss embu badilishen mfumo tusijepoteza viongozi mapema
 
Kwa nini unadharau uzoefu wako? Jipigie debe uwe Makamu Mwenyekiti. Uzuri Nafasi hiyo majukumu yake yameanishwa kwenye katiba ya Chama na nyongeza ya kanuni zi Chama. Uzoefu wa wengine utaupata humo humo kwa Sasa tumia uzoefu wako
Nashukuru Mkuu.
 
Wana CCM kupitia kwa Mwenyekiti Samia Suluhu Hassan kama itawapendeza mteueni Mzee Mizengo Peter Kayanza Pinda kuwa Makumu Mwenyekiti Tanzania Bara kuziba nafasi ya Abdluhrahman Kinana "aliyestaafu"". Pinda ni miongoni mwa wazee wenye hekima mno na maarifa tele.

Pinda ni msikivu, mwelewa, mtu aliyeshiba busara za kiuongozi na kiutawala. Pinda anakijua CCM nje ndani. Atakivusha chama salama 2025. Zaidi yake binafsi simuoni.
 
Ungependa CCM ivuke salama 2025 Ili iweje!!
 
Mtu pekee ambaye hata jina lake likitajwa, upinzan watuogopa Si mwingine Bali ni MH DOKTA BASHIRU ALLY KAKURWA
 
uzuri chama cha mapinduzi ndio mfano wa kuigwa juu ya demokrasia hata hizi R4 sisi ndio waasisi wake ajabu chadema wanazizungumzia utafikiri wana jua kitu kuhusu R4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…