Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Ila blaza muonee huruma, kaomba kuelimishwa na umempa elimu swaafiMzee John Samuel Malecela ( Waziri Mkuu Mstaafu ) una uhakika kuwa hakuwahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kati ya mwaka 1995 hadi mwaka 2007? Ukijua Kichwani mwako ni Mtupu na huna Data za Kutosha ni vyema ukawa unakaa mbali na Mada za Zanaki and Yao Genius GENTAMYCINE Mimi sawa?