dawa za siku hizi zinasaidia kufubaza wadudu kabisa ukizitumia freshHuyo Mzee ana roho mbaya kama sura yake,na huu ugonjwa unamchelewesha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dawa za siku hizi zinasaidia kufubaza wadudu kabisa ukizitumia freshHuyo Mzee ana roho mbaya kama sura yake,na huu ugonjwa unamchelewesha sana.
Hatuwezi kupata katiba mpya ya wananchi ikiwa yule aliyekwamisha upatikanaji wake bado yuko hai, JK, ana madaraka makubwa awamu ya sita kuliko raisTaarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba , Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu , Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya .
OhooooHatuwezi kupata katiba mpya ya wananchi ikiwa yule aliyekwamisha upatikanaji wake bado yuko hai, JK, ana madaraka makubwa awamu ya sita kuliko rais
Mbona maoni tayari yalishakusanywa, kuingia gharama mara ya pili ni kupoteza pesa za umma bila sababu ya msingi!!Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba , Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu , Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya .
Atatoa maoni gani huyu aliyewahi kusema piga tuu.Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba , Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu , Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya .
Hakujawahi kuwepo mwanaccm mwenye nia njema na nchi hiiNilikuwa nadhani Rais ana nia njema kwenye ishu ya kikosi kazi, ila naona sasa anataka CCM iteke huu mchakato.
Kwa hili la kumuingiza Pinda katika kikosi kazi naona Samia hana nia njema na anatupotezea muda.
Hiki ni kikosi kazi cha CCM, hakina Legitimacy yoyote
Anawakilisha wafugaji wa nyuki au😀Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba , Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu , Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya .
Mkuu Erythro, nadhani kwa mara ya kwanza nitasema hapa kuwa unapotosha. Ni lini kumekuwepo na "Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu 'Katiba Mpya'"?Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba , Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu , Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya .
CCM ni kikwazo kwenye katiba mpya, wanachofanya ni sawa na timu ya mpira inaongeza nguvu ili ipate ushindi.Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba , Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu , Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya .
Unachukuaje maoni ya miaka 10 iliyopita?Hiki kikosi kazi kinaweza kuwa upotevu wa pesa bure tuu! Kama kweli tunataka katiba mpya basi tuchukue maoni ya tume ya judge warioba maana walishafanya kila jambo!
Kumbe hakuwepo mwanzo waliona hafai nini??!!Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.
Ingependeza zaidi kama angechagua watu katika taasisi nyingine kuliko kulenga wanasiasa hususa wa chama tawalaTaarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.
You can say it againHe
Hebu pitia vizuri hiki ulichoandika ukiwa na kichwa cha busara siyo kichwa cha shetani, uone kama ni sahihi! 🙏🙏🙏
Kweli kabisa yawezekana pia mchawi huyuWe jamaa mbona unaombea watu kufa? Huna guarantee ya uhai waweza kutangulia wewe.
Hehehehehe huyu Mzee Mizengo wanapenda sana kumtumia mambo yakichacha... Tunajuwa.
Wapi waliwahi kuwa na nia nzuri ?Wanamtumia kwa nia ovu au njema?