Mizengo Pinda aongezwa kwenye Kikosi cha Rais cha kukusanya maoni ya Katiba Mpya

Mizengo Pinda aongezwa kwenye Kikosi cha Rais cha kukusanya maoni ya Katiba Mpya

Wapi waliwahi kuwa na nia nzuri ?
Hii katiba itakuja kwa maumivu makali. Naomba tu mamlaka ziendelee kujenga shule za secondary kila Kijiji. Nakumbuka jinsi shule za kata zilipoanza kutema kwa mara ya kwanza jinsi vijana walivyo leta hamasa mtaani( uchaguzi wa Dr Slaa na Jk 2010) Hadi Jenerali Shimbo akatumika kutisha watu na kwa mara ya kwanza afisa wa juu kabsa wa Tiss ( Jacob Zoka) kutoka hadharani kuyakana mawasiliano yake ya uchakachuaji kati yake na Zito Kabwe na Rostam Aziz.
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.

View attachment 2244576
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais
Hapa hakuna kikosi tena, makacheleo ndo amejazwa, huko ,WENDA nia ilikua nzuri, why wazee wa na wenye nchi mfano Warioba wasingepewa majukum ya kuunda kikosi ichi, mtabaki na kikosi chenu
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.

View attachment 2244576
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais
Jamani haya maoni yanakusanywa kwa kina nani?80%ya walio vijijini ni STD VII . wengi wa wananchi hawajui nini maana ya kumshitaki raisi akikosea ila wajuavyo wao ni kupiga kura tuu.sasa kutumia mabilion ya pesa kwenda vijijini kukusanya maoni kwa wakulima ni kuharibu KATIBA.

Huu ni ujanja wa kukikwepa kipengele cha wananchi kuwa na uwezo wa kumshitaki raisi ikiwa ataonekana kuyumba katika kashfa. maana katiba kama haimshitaki kiongozi ni sawa na mechi bila refa.Nimetafuta Jungu Israel na India nijue wao walifanyaje mpaka wakapata katiba bora. ni wanasheria wasomi na viongozi wa dini tuu walisimamia katiba zao mpaka zikatoka bomba. leo sisi iweje tuanze kukusanya maoni, halafu vikao vya kuchekecha maoni, halafu maoni gani yalio ya wengi, halafu, tujadili bungeni, halafu mwisho tuambiwe wananchi wengi wanataka muungano wa serikali moja au tatu au mbili ila kiongozi asiguswe wala waziri mkuu~!
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.

View attachment 2244576
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais
hahahaa mzee wa watandikwe tu hakuna namna tumechoka
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.

View attachment 2244576
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais
Maoni ya katiba mpya yalishakusanywa na tume ya Warioba na kuandaliwa rasimu.

Haya ya sasa ya nini tena au Watz hawa ni tofauti na wale waliotoa maoni kipindi kile ?
 
Nilikuwa nadhani Rais ana nia njema kwenye ishu ya kikosi kazi, ila naona sasa anataka CCM iteke huu mchakato.

Kwa hili la kumuingiza Pinda katika kikosi kazi naona Samia hana nia njema na anatupotezea muda.

Hiki ni kikosi kazi cha CCM, hakina Legitimacy yoyote
Wanakula tu jasho la Watz.
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.

View attachment 2244576
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais
Hangaya anapiga danadana ili aonekane nae yuko serious na hili jambo la katiba mpya. Ukweli mchungu, kikosi kazi hakitaleta maajabu yoyote zaidi ya utashi wa sterling Maoni ya wananchi ni yale ya warioba. Serikali tatu haswaa, sio hizi serikali mbili kwa mataifa mawili yaliyoungana kuwa mataifa mawili sio moja wala matatu.
 
Katiba Mpya ikusanye maoni ya wananchi sio wadau. Wadau wanaweza kujichagua pale Lumumba au White House Dom wakaleta maoni yao. Mchakato uwe wa wazi kama tunavyohamasishwa kushiriki sensa, vivyo hivyo tuhamasishwe kutoa maoni ya katiba mpya pia.
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau kuhusu Katiba Mpya.

View attachment 2244576
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akitambulishwa kwenye kikosi kazi cha Rais
Hii kazi alishafanya Warioba,nchi yetu hatuna vipaumbele kabisa yaani
 
Mbona maoni tayari yalishakusanywa, kuingia gharama mara ya pili ni kupoteza pesa za umma bila sababu ya msingi!!

Halafu wanaokusanya maoni mara ya pili kwa njia za panya wanajiita wasomi! Cha ajabu wanajiona wako sawa. Hapo wazungu wakituita manyani tutakasirika vipi?
 
Hata kama tungepata ile katiba 2014, leo tungekuwa tumeshahitaji mabadiliko mengine.

Katiba ya rasimu ya Warioba ilikuwa na mambo mengi ya msingi, kama ndio ingekuwa imepatikana, ingechukua wangalau miaka 50 kufanyiwa mabadiliko. Ambao wangehitaji mabadiliko sasa ndio hawa wanaokumbatia katiba hii inayowabeba.
 
Back
Top Bottom