Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Vitu vinavyokwamisha katiba mpya ni hivi
1) muungano
2) uraia pacha
CCM wanajua muungano ukiguswa utavunjika, uraia pacha ukiruhusiwa WaAsia waliopoteza mali zao baada ya Azimio la Arusha watarudi kuzidai.
1) muungano
2) uraia pacha
CCM wanajua muungano ukiguswa utavunjika, uraia pacha ukiruhusiwa WaAsia waliopoteza mali zao baada ya Azimio la Arusha watarudi kuzidai.