Inkanyamba Son
Member
- Jun 1, 2022
- 21
- 27
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....
Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto
Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!
Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo
HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU
Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.
MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.
Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto
Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!
Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo
HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU
Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.
MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.
Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu