Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Aliyekwambia MIZIMU unaweza kuikataa Nani?


Utazinguka dunia Hii na hutaeeza kuizuia Mizimu ya UKOO wako labda Kama ni ya jirani yako[emoji848]
Aisee sisi kwetu mbona hakuna huo ujinga
Ni kuendekeza ushirikina tuu
 
Kama unataka kuukataa uganga, Nenda pale buguruni Rozana, Kuna ostadh anaitwa Charles Athumani ndio issue zake hizo akakusomee visomo, Kuna mama alikuwa anasumbua Kama wewe lakin Sasa hivi mzima.
Kuna mizimu ya asili ya uganga na mashetani / mizimu mibaya ,ya asili haiondoki zaidi ya kukuletea balaa tuu ukiikataa
 
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Afadhali, nimepata mganga hapa nataka kuangusha mtu
 
Mganga ana miezi miwili hana bando

wateja wanakopa dawa tu😅😅
 
Back
Top Bottom