Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee sisi kwetu mbona hakuna huo ujingaAliyekwambia MIZIMU unaweza kuikataa Nani?
Utazinguka dunia Hii na hutaeeza kuizuia Mizimu ya UKOO wako labda Kama ni ya jirani yako[emoji848]
MKUUAchana na mizimu wewe, njoo kwa YESU kuna zaidi ya hivyo.
Pesa, Mali dhahabu ni Mali ya Bwana
Sasa hapo kwenye kusimama na mungu kweli kweli ndipo uja kuwa tatizoUkiwa na Nia unaweza kabisa kuikataaa ..Mimi Nina ushahidi pia muhimu usimame na Mungu kweli kweli
Kuna mizimu ya asili ya uganga na mashetani / mizimu mibaya ,ya asili haiondoki zaidi ya kukuletea balaa tuu ukiikataaKama unataka kuukataa uganga, Nenda pale buguruni Rozana, Kuna ostadh anaitwa Charles Athumani ndio issue zake hizo akakusomee visomo, Kuna mama alikuwa anasumbua Kama wewe lakin Sasa hivi mzima.
Usiogope ndugu Ukiifuata Mizimu yako ww no Tajiri.... Amini kwamba tafuta Mtu akufungulie watakuonyesha Kila kitu mpk utakapo upata utajiri wakoSame problem to me guys dah inafikirisha sanaaaa
Is this serious ?Usiogope ndugu Ukiifuata Mizimu yako ww no Tajiri.... Amini kwamba tafuta Mtu akufungulie watakuonyesha Kila kitu mpk utakapo upata utajiri wako
Afadhali, nimepata mganga hapa nataka kuangusha mtuMimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....
Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto
Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!
Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo
HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU
Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.
MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.
Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
100% ndugu yangu.... Wazee wako kabla yako hata na babu yako walikuwa wana mbinu zao katika utafutaji, Hizo mbinu hurithiwa Sasa wewe Sasa hujui lolote ndio hapo unajikuta huna hili Wala lile!Is this serious ?
Sifanyi hizo kazi mkuu, Kwanini Uangushe? Karma inapaswa kuogopwa.....Afadhali, nimepata mganga hapa nataka kuangusha mtu