Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Hayo maono hayakukuambia usipoteze ada bure hautapata kazi?

[emoji38][emoji38][emoji38]aiseeeeee
Nilikua nataka nikapate tiba kwake ila nimeahirisha…
 
Mzimu ni mapepo ya mababu, ingawa yenyewe hutamba kwamba ndiyo malinzi ya ukoo husika - kazi yanayofanya ni yanaangalia makubaliana ama sheria ambazo mababu zako waliangana - yenyewe huwa hayafi sababu hayana mwili na ndiyo maana yanatambua ukoo wenu mwanzo mwisho na ukishachaguliwa huwa huna namna bali ni kukubaliana nayo maana yana mikwara balaa.

Kwa hiyo kama ukigoma yatakupa adhabu za kijinga ila pambana nazo kwa damu ya Yesu utashinda, belive me.
 
wewe utakuwa mganga wa ukweli,maana kwanza una digiriii!!
Nakutakia heri ,kiringeni!! Ila usisahau kumualika mshana ,siku utakapoanza kazi rasmi.atie baraka! utu uzima dawa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na mizimu wewe, njoo kwa YESU kuna zaidi ya hivyo.

Pesa, Mali dhahabu ni Mali ya Bwana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Chuo ulisomea ushirikina?????

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ila waafrika katika maeneo tuliyokamatwa ni kwenye imani.

Ukimuabudu babu yako aliekufa (ambae unamfahamu kabisa kwamba ni babu yako) unaambiwa huyo ni mzimu!

Lakini wakati huo huo unaambiwa muabudu mzungu/muarabu aliekufa (ambae humfahamu wala hujui kama ni kweli aliwahi kuishi)

Hakuna imani isiyoabudu watu waliokufa!
Mzimu ni mapepo ya mababu, ingawa yenyewe hutamba kwamba ndiyo malinzi ya ukoo husika - kazi yanayofanya ni yanaangalia makubaliana ama sheria ambazo mababu zako waliangana - yenyewe huwa hayafi sababu hayana mwili na ndiyo maana yanatambua ukoo wenu mwanzo mwisho na ukishachaguliwa huwa huna namna bali ni kukubaliana nayo maana yana mikwara balaa.

Kwa hiyo kama ukigoma yatakupa adhabu za kijinga ila pambana nazo kwa damu ya Yesu utashinda, belive me.
 
28 -8 = 20yrs

Ulimaliza shahada na 20 years.
 
Ndugu yangu mizimu ikishakupointi auna namna mana si ya ubaya iyo ingekuwa ya ubaya angeenda kanisani ingekimbia mbali ila ngoja nikupe ushaidi mmoja hivi, kulikuwa kuna mama mmoja enzi za ujana wake iyo mizimu ilitaka awe mganga yule mama akajifanya kwenda kanisani alikesha sana makanisani tena alibadili sana makanisa lakini wapi sasa ile mizimu ilimtesa sana ikafika kipindi alikuwa anaumwa vitu ambavyo avieleweki basi yule mama ikabidi asalimu amri mpk leo mganga
Ukiwa na Nia unaweza kabisa kuikataaa ..Mimi Nina ushahidi pia muhimu usimame na Mungu kweli kweli
 
Mkuu sikiliza nikuambie..

Usisikilize maneno ya watu humu, uganga ni kipaji kama vipaji vingine kama kuimba, kuigiza au mpira. Hayo maono unayoyaona ndio kipaji chenyewe na ukiyatumia vizuri yanaweza kukufikisha mbali kimaisha kuliko hivyo vyeti. Sasa hivi maisha ni magumu sana mkuu ukipata uchochoro wa kupiga pesa usiulazie damu!

Hao wanaokushauri uache hicho kipaji chako ndio hao hao wanakupita barabarani wakiwa kwenye ma range rover na ma vx wanakutimulia vumbi tu wakati na wao hela wanapata kwa kula rushwa, dhuluma, madawa ya kulevya, nk. Infact wengine hela wamepata kwa waganga.
Asisikilize maneno ya watu humu pamoja na wewe.



JESUS IS SAVIOR
 
Back
Top Bottom