EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
29-8=21 ulimaloiza chuo mdogo, hii iko poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naikataa Vipi talanta niliyopewa na MUNGU wangu....Kama unataka kuukataa uganga, Nenda pale buguruni Rozana, Kuna ostadh anaitwa Charles Athumani ndio issue zake hizo akakusomee visomo, Kuna mama alikuwa anasumbua Kama wewe lakin Sasa hivi mzima.
Na kama ni Mkristo unataka kuacha uganga we nenda tu kwa Kuhani Musa Kimara Temboni. Watu wanatolewa uchawi na uganga pale.Kama unataka kuukataa uganga, Nenda pale buguruni Rozana, Kuna ostadh anaitwa Charles Athumani ndio issue zake hizo akakusomee visomo, Kuna mama alikuwa anasumbua Kama wewe lakin Sasa hivi mzima.
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....
Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto
Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!
Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo
HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU
Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.
MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.
Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Kwani nimeomba kutolewa UGANGA?Na kama ni Mkristo unataka kuacha uganga we nenda tu kwa Kuhani Musa Kimara Temboni. Watu wanatolewa uchawi na uganga pale.
Hawachagui Dini
Bwana YESU atukuzwe.
Nimecheka kwa sautiHayo maono hayakukuambia usipoteze ada bure hautapata kazi?
Ungekuwa unajua kumakinika ungerudia kusoma..... Nipoteze ada miaka nane ya Kuwa jobless au ukiwa jobless unalipia ada? Maono haya yamekuwa yakija nikiwa nishamaliza skul!Nimecheka kwa sauti
😂😂😂😂😂Kwenye mabango uandike "KUTANA NA MGANGA MWENYE SHAHADA" Tutakuja na mashida zetu
Sitaifanya kitapeli mkuu.... Nakuwa original haswaa Hii kitu ipo damuni ni natureKuna pesa nyingi sana kwenye kazi hiyo nikujua tu jinsi ya kucheza na akili ya watu
Jiandae kufa masikini...Kwani nimeomba kutolewa UGANGA?
La hasha... Hi kitu ni TALANTA yangu siwezi kuimbia
Mbona uganga unalipa kuliko kaziSasa kama una hayo madude,si yakuonyeshe why hupati kazi?