Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Ukiingia kwenye uganga Rasmi ukajua mambo yake kiundani utaikumbuka sana coment na.13
.
NB: Hakuna amani wala utajiri wa furaha kwa kumtumikia shetani
 
Mkuu schizophrenia hio,, kuona una special powers,you can talk to the dead...
 
Ushauri wangu fuata kama unavyoelekezwa. Hujui kazi yako ikakufaidia kupata fulsa zaidi mbeleni.
Hata wafalme hawakuchagua ila waliteuliwa na mizimu ya ukoo. Hizi dini tunazosali haijafika miaka 200 tangia ukristo uingie Tanzani ingawa uislam umekuwepo tangia kalne ya 9 na kabla yawezekana maana muingiliano wa pwani haukufika bara mpaka biashara ya pembi na watumwa ilipoaza.
Wewe fuata maono yanavyokwambia. Prince Charles amesoma mpaka chuo kikuu lakini bado anasubiri kuwa mfalme.
 
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Hiyo mizimu ulikutana nayo wapi?
 
Nenda kwa Mwamposa,atakusaidia itaendelea kutumia vyeti vyako vya shahada
 
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Muone Mwamposa mganga mwenzio akushauri
Ukiingia kwenye uganga Rasmi ukajua mambo yake kiundani utaikumbuka sana coment na.13
.
NB: Hakuna amani wala utajiri wa furaha kwa kumtumikia shetani
unakuwa mtumwaa sana
 
Achana na mizimu wewe, njoo kwa YESU kuna zaidi ya hivyo.

Pesa, Mali dhahabu ni Mali ya Bwana
Pesa, Mali, dhahabu si vya bwana ni vya shetani. Unakumbuka Yesu alitaka kupewa Nini na shetani pale mlimani.
 
Hayo maoni yanasemaje kwani ukiwa mganga
 
Mkuu nimejikuta nacheka lakini ndo ivyo, kama una mizimu basi hapo auna namna kabisa ya kuikataa coz kama wamekupoint ww ujue basi ur different from others siku zote mizimu ya uganga inakuwa inachagua si kila mtu itampenda kwa ajili ya kazi yao ww una vitu ambavyo wamevipenda kwa ajili ya kufanya kazi yao
 
Achana na mizimu wewe, njoo kwa YESU kuna zaidi ya hivyo.

Pesa, Mali dhahabu ni Mali ya Bwana
Ndugu yangu mizimu ikishakupointi auna namna mana si ya ubaya iyo ingekuwa ya ubaya angeenda kanisani ingekimbia mbali ila ngoja nikupe ushaidi mmoja hivi, kulikuwa kuna mama mmoja enzi za ujana wake iyo mizimu ilitaka awe mganga yule mama akajifanya kwenda kanisani alikesha sana makanisani tena alibadili sana makanisa lakini wapi sasa ile mizimu ilimtesa sana ikafika kipindi alikuwa anaumwa vitu ambavyo avieleweki basi yule mama ikabidi asalimu amri mpk leo mganga
 
Back
Top Bottom