Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Mizimu imenichagua kuwa mganga japo nina shahada

Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu

Waambie mizimu waende kiteknolojia!! Waingie kwanya computer tuje utuscan!!
 
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Kazi yako ya kwanza maliza vita ya Ukraine
 
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Isiwe TU kukosa ajira ndio sababu ya kugeuka uganga🏃
 
Bwana huyo anataka watu wake wawe masikini ili waende mbinguni.

Bwana wenu ana bifu na matajiri, akawaambia ni ngumu tajiri kuingia mbinguni kama ilivyo ngamia kupenya kwenye tundu la sindano🥵🥵🥵
Ujaelewa huo mstari,sasa bila matajiri hio injili itaendaje sasa
 
Sitaifanya kitapeli mkuu.... Nakuwa original haswaa Hii kitu ipo damuni ni nature
Dawa ya tezi ndugu maana operation inaweza kuniacha sina uwezo wa kupiga mambo yetu....fanya mambo MGANGA ili nilete ushuhuda
 
Au huyu ni Yule wa Lindi SEMA Nini sijataja Mtu Hapo
 
miaka 8 Jobless? Uliishije?

jitibu sasa upate ajira kwanza halafu uendelee kutibu na wengine
Unashangaa miaka 8?watu wamepiga muongo,wameamua kupambana na hali zao tu
 
Mimi ni member humu Ila hii ni ID mpya....

Umri wangu ni miaka 29
Elimu yangu ni Shahada
Sijaoa Sina Mtoto

Tangu nimemaliza chuo miaka 8 iloyopita sikuwahi bahatika kupata ajira, nimetafuta Sana kazi lakini holaaa!

Katika Asili yangu yani Upande wa BABA sijui kizazi Cha ngapi alikuwepo MGANGA, pia katika Upande wa MAMA ulikuwa wa kichifu pia UGANGA upo

HIVYO NIMECHAGULIWA MGANGA na MIZIMU YANGU

Miaka Kama Sita Nyuma nimekuwa na MAONO katika kichwa changu naweza kujua Mengi ya sirini yanayonihusu Na hata ya watu, DAWA na TIBA mbalimbali.

MIZIMU imeniambia kabisa nilizaliwa niwe MGANGA na Pesa yangu nitaipata kwa MIUJIZA ya mikono yangu.

Naskitika Sana kuacha VYETI vyangu
Nenda kwenye makanisa ya kiroho, ukapate msaada wa maombi na ushauri
 
utaalamu wowote ktk ulimwengu huu unajitaji akili na umeshaipata, hata huko uliko shahada yako itafanya kazi.

saidia watu na sio kuharibu.
 
Anyway, sometimes usiendekeze maono maana siyo yote yanayotoka kwa Mungu.

Kwako challenge ni kipato, jishauri kwanza.
 
Back
Top Bottom