Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiamini mizimu ipo, basi kweli ina nguvu, na kama mizimu haipo, basi hata nguvu inayosemwa haipo.Mizimu haina uwezo wa kuadhibu mtu
Msichanganye Mambo, Mambo ya Mizimu ni Imani kama ilivyo wewe unaeamini Mungu ana nguvu. Na wapo Wapo watu hawaamini katika mizimu wala Mungu.Allah ndiye pekee mwenye kuleta mvua na muendeshaji wa mambo yote kaka...zingine porojo tu
[Qur an AR-RUM - 48 ]
Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma pepo zikayatimua mawingu, kisha akayatandaza mbinguni kama apendavyo. Na akayafanya mapande mapande, basi ukaiona mvua inatoka ndani yake. Anapo wafikishia awatakao katika waja wake, mara hao huwa na furaha.
Eti ehhUkiamini mizimu ipo, basi kweli ina nguvu, na kama mizimu haipo, basi hata nguvu inayosemwa haipo.
Duh hatari sana
Kwa mfano kumuamini Mtume Muhammad S.A.W na kumuomba wakati alishakufa itakuwa ni......?Mtu au kiumbe chochote kikifa hakiwezi kusikia, kuona, kuhisi wala kujibu chochote.
Kwahiyo kuamini kuwa mizimu inaweza kuleta mvua au kufanya chochote ni Upumbavu na Ujinga.
energy cannot be created not destroyed but it can change from one state to anotherMtu au kiumbe chochote kikifa hakiwezi kusikia, kuona, kuhisi wala kujibu chochote.
Kwahiyo kuamini kuwa mizimu inaweza kuleta mvua au kufanya chochote ni Upumbavu na Ujinga.
hakuna kitu kizr km iman ila hakun kitu kibaya km imaniHalafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?