Mizinga kuelekea sikukuu ya Eid....

Mizinga kuelekea sikukuu ya Eid....

Sura yangu haivutii hata kwa mtu aliyelewa,
Sikuwa najua simu ya imekuwa ikipigiwa hasa ktk siku hizi mbili,
Hawana huruma watu hawa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu umenichekesha hapo pa "mikono juu ya ardhi"
Usijali, no hard feelings.


Hhahah..!! Nlijua hatuwezi pishana labda niwe nimelewa.! lkn niko mzima kbsa nikukorofishe,?? Haitokaa itokee..!! Tena Malkia wa nguvu kbsa Jf hapa
 
Wanasambaza upendo kwa wapendanao bana!!! Uenda ndio bahati iyo

Eid mapenzi mubashara 2
 
Mkuu mi jana nilikuwa TAIFA pale nimechukua namba ya USTAADHATI mmoja hivi mkali,ila nasubiri hadi Idd ipite mkuu ndo nianze makeke.Naepuka mengi yanaoyambatana na sikukuu.
Usiogope bana mkuu watu hawafanani na mizinga n jambo LA kawaida!!!! Hata ukiepuka eid
Siku nyingine 2 utapigwa mznga
 
acha uchoyo wewe ....yani wewe nimume wa mtu halafu mi niwe mchepuko nisubirie dudu tu na hatuna future.. kuchunwa lazima wewe na acha uchoyo unafikiria kutiwa na limwanaume limume la mtu ni raha .. pesa zenu ndiyo raha .. sikukuu njema mfyuuuuuu
Ningeshangaa sana kwenye Uzi huu Wewe usiwemo
 


Hhahah..!! Nlijua hatuwezi pishana labda niwe nimelewa.! lkn niko mzima kbsa nikukorofishe,?? Haitokaa itokee..!! Tena Malkia wa nguvu kbsa Jf hapa
Khaaaaah!! Umeamua sasa kunivika kilemba cha ukoka eti!!!!
 
Sura yangu haivutii hata kwa mtu aliyelewa,
Sikuwa najua simu ya imekuwa ikipigiwa hasa ktk siku hizi mbili,
Hawana huruma watu hawa.
Sasa kuvutia kwa sura yako na sisi kutokuwa na huruma vina mahusiano gani mkuu?
 
acha uchoyo wewe ....yani wewe nimume wa mtu halafu mi niwe mchepuko nisubirie dudu tu na hatuna future.. kuchunwa lazima wewe na acha uchoyo unafikiria kutiwa na limwanaume limume la mtu ni raha .. pesa zenu ndiyo raha .. sikukuu njema mfyuuuuuu


Wewe utakuwa Jambazi halisi la mchana mkuu
 
Kwa wanaume woteeee.
Ukipokea simu ya mwanamke jifanye husikii kisha kata simu na ikibidi zima na utie beteri ili kuepusha hatari ya mifuko hiyo.
We ushatuma pesa alafu unawadanganya wenzio!!!
 
Back
Top Bottom