Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nijisikie 😂Vurugia na huku
Warembo wa humu mbona waelewa sana,wakikuelewa unapewa mbususu bure kabisaMambo vipi wakuu?
Kutokana na miangaiko ya utafutaji wa kila siku; imenibidi kutenga angalau siku mbili ndani ya wiki, nikashangae kwa kubadilisha mazingira ya hapa na pale; angalau nifurahie uwepo wa kuwa hapa duniani.
Sasa hivi, nipo hapa njia panda kwenye hichi kilima, kuelekea mbugani; namngojea huyu mrembo wa jf tuambatane naye ili anipe kampani.
Hofu yangu, naogopa asije akanipiga mizinga mizito mpaka nikapoteza fahani.
Wakuu, kwa uzoefu wenu; mizinga ya warembo wa humu, ni kama ile inayopigwa Ukraine au Somalia?
Subra yavuta heri, wahenga walituasaNgoja nijisikie 😂
Uncle upo!?Ngoja nijisikie 😂
NipoUncle upo!?
Wikiendi inasongaje huko ulipo uncleNipo
CrushNina crush wangu humu bila yeye kujua siku nikimwona nitawaambia
🤣🤣Haya mzinga mwingine huu hapa, Naomba hata buku 10 mkuu😂
Wewe umehonga nyumba ngapi hadi sasa au umeshiba wali marage tu.Tafuta Hela hata ukihonga nyumba demu anajiona keki wakati wewe unaona umegawa kwa masikin Hela ya mboga😂😂
Ukiwa na njaaa hata ukihonga laki unaona kama umetoa bilion😬
Unammezea mate au ID yake ndio unaimezea mate!?Wanawake wa humu ni warembo wenye mikoko yao, wana nyumba na wanajiweza kiuchumi wanachotaka wao ni upendo na kuwapelekea moto.
Usihofu 😀😀
Njoo gheto uchukue, niko hapa sinza vatcanHaya mzinga mwingine huu hapa, Naomba hata buku 10 mkuu😂