Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,414
- 4,794
Mgogo lofa sanaHabari WanaJF,
Wote tumeona taarifa ya Kujiuzulu kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naomba kujuzwa yafuatayo;
Je, Hatua gani hufuata kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Nchi?
Je, Naibu Spika anachukua madaraka Moja kwa Moja?
Karibuni Wajuvi
Aliomba msamaha kwa swala la kijinga na amejiuzulu kwa swala la kijinga