Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Utaelewa tu mkuu, haya ndio madharaya kuchamba sana..... ona sasa ameshika kiwele...š¤£Naibu spika anachukua nafasi kikatiba? Sijui utaratibu upoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaelewa tu mkuu, haya ndio madharaya kuchamba sana..... ona sasa ameshika kiwele...š¤£Naibu spika anachukua nafasi kikatiba? Sijui utaratibu upoje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakn huyu si ndo alimuona mke wa yesu galilaya!!!!!!
Demokrasia imekuaNdiyo Mara ya kwanza speaker kujiuzulu Tanzania
Hata wao wanahitaji katiba mpya lakiniSasa kwa mwenendo huu hiyo katiba mpya nani atapaza sauti na bungeni wamejazana wa kijani tupu na ukithubutu kuongea unaporwa tonge mdomoni
Ni fedheha kwa taifa letu, demokrasia hakuna ilipaswa ndugai ajiuzulu bilq hata kuomba samahaniUkiona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea na ambao unapaswa kuwa huru ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa na kubidi ajiuzulu, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
Bora taifa life lakini siyo Ndugai awe Spika bora tuweke hata mbwaUkiona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea na ambao unapaswa kuwa huru ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa na kubidi ajiuzulu huku wananchi wanakenua meno, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
Kumfufua JIWE tu!!
Ndiyo kinachofuataUyu mother tusije kuamka kuchagua mawaziri wazenji i wote
[emoji1787][emoji1787] awamu ya michamboUtaelewa tu mkuu, haya ndio madharaya kuchamba sana..... ona sasa ameshika kiwele...[emoji1787]
Muacheni mwenyewe na uamuzi wake anaoona uko sawa.Mgogo lofa sana
Aliomba msamaha kwa swala la kijinga na amejiuzulu kwa swala la kijinga
watoke wote mpaka IGPJaji mkuu kujiuzulu!hahaha
Na ndyo ilikua mara ya kwanza Rais kufia madarakani .Na Bado vitu vingi vitabadilika Sana ndani ya hii miaka .Na katiba mpya inakalibia.Ndiyo Mara ya kwanza speaker kujiuzulu Tanzania
Lema kawamaliza wote kuanzia Dikteta mpaka SabayaUle mhimili wenye mzizi mrefu ukiondoka makamu anatakeover. Huu mhimili wa wananchi sijui labda na wenyewe makamu anatakeover. Nawaza tu mie sio mjuzi. Haya mambo ni kwa zamu. Lisu yeye yupo pale pale. Lema njoo tuwambie zamu ya nani inafuata.
Siyo mwepesi, nguvu ya Rais na Mkiti wa CCM ni kubwa mnoo, akiamua hakuna wa kubaki salama iwe CCM ama Upinzani! Ndugai Kwa kukaa kwake kwenye System analitambua hilo, na wanaCCM siku zote wapo upande wa Mkiti na Rais wao! Yule bwana aliyepo mahabusu na wenzake walichukulie hili kama funzo kwao, wanapoambiwa Rais ni taasisi waelewe, siyo kujiropokea tu na kumuita Rais majina ya ajabu ajabuSikujua kama Ndugai ni mwepesi kiasi hiki
Wale ni wawakilishi wetu lazima wahitaji ila kwa kuogopa mamlaka watafyata maagizo ya kipuuziHata wao wanahitaji katiba mpya lakini
Karma is a bitch, so make sure it's beautifulKarma is Real
Nimeweka record, mgogo mieNdiyo Mara ya kwanza speaker kujiuzulu Tanzania