MJADALA: Baada ya Spika kujiuzulu ni hatua gani hufuata?

MJADALA: Baada ya Spika kujiuzulu ni hatua gani hufuata?

images.jpg





Huyu mzee muungwana kabisa alinyanyasika sn.

Mungu ambariki huko aliko
 
Ukiona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea na ambao unapaswa kuwa huru ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa na kubidi ajiuzulu huku wananchi wanakenua meno, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.
Leo unamtetea Ngugai? Ni maajabu
 
Na ndyo ilikua mara ya kwanza Rais kufia madarakani .Na Bado vitu vingi vitabadilika Sana ndani ya hii miaka .Na katiba mpya inakalibia.
CCM wameiharibu sana nchi, kulianda makundi wengine wakajiita wanamtandao. Ikaja mgawanyiko wa kikanda tukapata Sukuma Gang na sasa kuna wa Bara na wa Visiwani.
 
Ukiona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea na ambao unapaswa kuwa huru ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa na kubidi ajiuzulu huku wananchi wanakenua meno, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.

Na bahati mbaya kwa mujibu wa kanuni za asili kitu kikishakufa hakifufuki..
 
Siyo mwepesi, nguvu ya Rais na Mkiti wa CCM ni kubwa mnoo, akiamua hakuna wa kubaki salama iwe CCM ama Upinzani! Ndugai Kwa kukaa kwake kwenye System analitambua hilo, na wanaCCM siku zote wapo upande wa Mkiti na Rais wao! Yule bwana aliyepo mahabusu na wenzake walichukulie hili kama funzo kwao, wanapoambiwa Rais ni taasisi waelewe, siyo kujiropokea tu na kumuita Rais majina ya ajabu ajabu
Kweli Rais ana nguvu sana lakini kwa Samia huu ni wakati mgumu sana kwake kwani hatima ya URAIS wake ustategemea sana uamuzi wake wa jinsi atakavyolisuka Baraza lake jipya la mawaziri!
 
Tatizo ni kuwa huyu aliyekuwa anaitwa spika alishiriki njama ovu na JPM kulifanya Bunge kuwa kiboyo na rubber stamp ya Serikali.Mbele ya raia wenye akili timamu kinachoitwa Bunge kinaonekana kuwa ni kusanyiko la mazuzu tu. Kifupi hatuna Bunge labda hadi November 2025 kama utafanyika uchaguzi huru na wa haki.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kumuondoa Ndugai badala ya kuondoa mfumo haitaleta Bunge huru.Atakaekuja uzi utakuwa kama uleule wa Ndugai kwa sababu tatizo halikuwa Ndugai bali ni mfumo.

Sisi kama wananchi tulipaswa kulinda mihimili kuhakikisha kuwa inakuwa huru pamoja na kuhakikisha kuwa tunakuwa na mfumo unaolinda mihimili badala ya kuhangaika na mtu(Ndugai).

Ujinga uliofanyika wa Ndugai kujiuzulu kwa sababu tu alitoa maoni yake kama mhimili huru itampa Rais kiburi zaidi cha kuendelea kunyanyasa mhimili wa Bunge pamoja na mihimili mingine.
 
Bora taifa life lakini siyo Ndugai awe Spika bora tuweke hata mbwa
Kumuondoa Ndugai badala ya kuondoa mfumo haitaleta Bunge huru.Atakaekuja uzi utakuwa kama uleule wa Ndugai kwa sababu tatizo halikuwa Ndugai bali ni mfumo.

Sisi kama wananchi tulipaswa kulinda mihimili kuhakikisha kuwa inakuwa huru pamoja na kuhakikisha kuwa tunakuwa na mfumo unaolinda mihimili badala ya kuhangaika na mtu(Ndugai).

Ujinga uliofanyika wa Ndugai kujiuzulu kwa sababu tu alitoa maoni yake kama mhimili huru itampa Rais kiburi zaidi cha kuendelea kunyanyasa mhimili wa Bunge pamoja na mihimili mingine.
 
Ni wakati wa nchimbi kuwekwa ili amsafishie Njia mama hapo 2025?na yeye alipwe fadhila ya umakamu wa Raisi kama mgombea mwenza??Tuone sasa hatma ya maamuzi haya!! Je The State wameridhia maamuzi ya kumuondoa spika kisa maono yake???je Mama atatengenezewa kashfa ya rushwa kisa kulazimishwa na wenye dola kujiuzulu uraisi wake???ngoja tuone!!
 
Back
Top Bottom