Mgogo lofa sanaHabari WanaJF,
Wote tumeona taarifa ya Kujiuzulu kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naomba kujuzwa yafuatayo;
Je, Hatua gani hufuata kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Nchi?
Je, Naibu Spika anachukua madaraka Moja kwa Moja?
Karibuni Wajuvi
Jaji mkuu kujiuzulu!hahahaRais kafia madarakani Tz firstly
Spika kujiuzulu
What next??
Hivi gharama za matibabu ya spika na mbunge wa kawaida ni sawa ? Maana kule India asije akawa hakumalizia tibaKiyoyozi masaa 24 huwazi gharama ya mafuta.
Sikujua kama Ndugai ni mwepesi kiasi hikiNdiyo Mara ya kwanza speaker kujiuzulu Tanzania
Unaambiwa hotelini walifikiri ni Mfalme ameingia, alichukua wing nzima 5*hotel.Hivi gharama za matibabu ya spika na mbunge wa kawaida ni sawa ? Maana kule India asije akawa hakumalizia tiba
Kuna Mengiiiii(Bwege's voice)Ndiyo Mara ya kwanza speaker kujiuzulu Tanzania
Tutaona mengi bado mpaka 2025, sasa hivi mawaziri viti ni vyamotoJaji mkuu kujiuzulu!hahaha
Kupata waziri mkuu mwanamke.Rais kafia madarakani Tz firstly
Spika kujiuzulu
What next??
Bongo hii itachukua mda sana kuja kuwa na tume huru maana demokrasia bado ni ya hovyo kwa kilichomkuta Ndugai.Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
😅😅Mtihani mwingine mpyaaa mbinguniNaomba kuwasilisha...View attachment 2070890
Kilichomkuta Ndugai ni uthibitisho mwingine wa umuhimu wa Katiba mpyaBongo hii itachukua mda sana kuja kuwa na tume huru maana demokrasia bado ni ya hovyo kwa kilichomkuta Ndugai.
Naibu spika anachukua nafasi kikatiba? Sijui utaratibu upojeUtulivu atachukua kiti cha uspika, na kisha kijana mpendwa (wa mchongo) atapendekezwa kua naibu.
Baada ya hapo Mgogo ataanza kuugua na kabla ya 2025 atang'ata shuka wakati chama chao kikiwa kime pata ombwe la mpasuko.
NAHISI NIMELEWA...
JamaniUtulivu atachukua kiti cha uspika, na kisha kijana mpendwa (wa mchongo) atapendekezwa kua naibu.
Baada ya hapo Mgogo ataanza kuugua na kabla ya 2025 atang'ata shuka wakati chama chao kikiwa kime pata ombwe la mpasuko.
NAHISI NIMELEWA...
Sasa kwa mwenendo huu hiyo katiba mpya nani atapaza sauti na bungeni wamejazana wa kijani tupu na ukithubutu kuongea unaporwa tonge mdomoniKilichomkuta Ndugai ni uthibitisho mwingine wa umuhimu wa Katiba mpya
Sahivi anatamani katiba mpyaMgogo lofa sana
Aliomba msamaha kwa swala la kijinga na amejiuzulu kwa swala la kijinga