Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
HAKUNA TAJIRI ASIYEKOPA! Umewahi kuwasikia watu wakisema hawakopi au kujisifia kwamba hawakopi kwenye biashara zao? Ukweli ni kwamba matajiri wote unaowajua wanakopa, ELON MUSK, alikopa kuinunua Twitter (sasa X), Mohammed Dewji MO alikopa benki ya First Rand Afrika kusini. Sasa Kama Elon Musk anakopa itakuwa wewe George wa Uyole? Mikopo ni ushahidi kwamba unaaminika na taasisi Kama Benki.
Je ni Benki ipi, (mtushauri kwa uzoefu) ina masharti nafuu ya mikopo. Kati ya Benki hizi za Tanzania kubwa (NBC, CRDB, NMB) au ndogo (MKOMBOZI, MAENDELEO, AKIBA, AZANIA, DCB, AMANA)au za kimataifa (EQUITY, KCB, ABSA, NCBA, STANBIC, STANDARD CHARTERED, EXIM, BOA, DTB,) ipi ina masharti nafuu kwa wafanyabiashara wanaokopa kiwango cha 15M -500M .
Benki nyingi hazina shida kutoa mikopo ya wafanyakazi hasa wa Serikali! Lakini kwenye wafanyabiashara sarakasi zinakuwa nyingi utasikia lete "audited financial reports " za miaka mitatu iliyopita.
TOFAUTI ya matajiri na wafanyabiashara wa kawaida wao wanaaminika hivyo wanapewa mikopo nafuu, yenye masharti nafuu. Wewe ukienda kukopa jiandae riba ya 20% na hati ya nyumba mkononi 😂,bado hongo za hapa na pale kwa maafisa wa benki.
Kwenye benki tajwa hapo juu, ni ipi inawasaidia Sana wafanyabiashara wa kati na wadogo SMEs kukua? Hapa tuongelee mikopo ya 10M-500M
Natamani kusikia testimonials, kuhusu mtu aliyekuwa anakopa 10M na amepanda hadi 100M
Karibuni mshauri ,kwa mliokopa ni challenge zipi mlikutana nazo kwenye marejesho?
Je ni Benki ipi, (mtushauri kwa uzoefu) ina masharti nafuu ya mikopo. Kati ya Benki hizi za Tanzania kubwa (NBC, CRDB, NMB) au ndogo (MKOMBOZI, MAENDELEO, AKIBA, AZANIA, DCB, AMANA)au za kimataifa (EQUITY, KCB, ABSA, NCBA, STANBIC, STANDARD CHARTERED, EXIM, BOA, DTB,) ipi ina masharti nafuu kwa wafanyabiashara wanaokopa kiwango cha 15M -500M .
Benki nyingi hazina shida kutoa mikopo ya wafanyakazi hasa wa Serikali! Lakini kwenye wafanyabiashara sarakasi zinakuwa nyingi utasikia lete "audited financial reports " za miaka mitatu iliyopita.
TOFAUTI ya matajiri na wafanyabiashara wa kawaida wao wanaaminika hivyo wanapewa mikopo nafuu, yenye masharti nafuu. Wewe ukienda kukopa jiandae riba ya 20% na hati ya nyumba mkononi 😂,bado hongo za hapa na pale kwa maafisa wa benki.
Kwenye benki tajwa hapo juu, ni ipi inawasaidia Sana wafanyabiashara wa kati na wadogo SMEs kukua? Hapa tuongelee mikopo ya 10M-500M
Natamani kusikia testimonials, kuhusu mtu aliyekuwa anakopa 10M na amepanda hadi 100M
Karibuni mshauri ,kwa mliokopa ni challenge zipi mlikutana nazo kwenye marejesho?