Mjadala: Benki nzuri kwa mikopo ya wafanyabiashara (15m-500m)

Mjadala: Benki nzuri kwa mikopo ya wafanyabiashara (15m-500m)

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,489
Reaction score
4,253
HAKUNA TAJIRI ASIYEKOPA! Umewahi kuwasikia watu wakisema hawakopi au kujisifia kwamba hawakopi kwenye biashara zao? Ukweli ni kwamba matajiri wote unaowajua wanakopa, ELON MUSK, alikopa kuinunua Twitter (sasa X), Mohammed Dewji MO alikopa benki ya First Rand Afrika kusini. Sasa Kama Elon Musk anakopa itakuwa wewe George wa Uyole? Mikopo ni ushahidi kwamba unaaminika na taasisi Kama Benki.

Je ni Benki ipi, (mtushauri kwa uzoefu) ina masharti nafuu ya mikopo. Kati ya Benki hizi za Tanzania kubwa (NBC, CRDB, NMB) au ndogo (MKOMBOZI, MAENDELEO, AKIBA, AZANIA, DCB, AMANA)au za kimataifa (EQUITY, KCB, ABSA, NCBA, STANBIC, STANDARD CHARTERED, EXIM, BOA, DTB,) ipi ina masharti nafuu kwa wafanyabiashara wanaokopa kiwango cha 15M -500M .

Benki nyingi hazina shida kutoa mikopo ya wafanyakazi hasa wa Serikali! Lakini kwenye wafanyabiashara sarakasi zinakuwa nyingi utasikia lete "audited financial reports " za miaka mitatu iliyopita.

TOFAUTI ya matajiri na wafanyabiashara wa kawaida wao wanaaminika hivyo wanapewa mikopo nafuu, yenye masharti nafuu. Wewe ukienda kukopa jiandae riba ya 20% na hati ya nyumba mkononi 😂,bado hongo za hapa na pale kwa maafisa wa benki.

Kwenye benki tajwa hapo juu, ni ipi inawasaidia Sana wafanyabiashara wa kati na wadogo SMEs kukua? Hapa tuongelee mikopo ya 10M-500M

Natamani kusikia testimonials, kuhusu mtu aliyekuwa anakopa 10M na amepanda hadi 100M

Karibuni mshauri ,kwa mliokopa ni challenge zipi mlikutana nazo kwenye marejesho?
 
HAKUNA TAJIRI ASIYEKOPA! umewahi kuwasikia watu wakisema hawakopi au kujisifia kwamba hawakopi kwenye biashara zao? Ukweli ni kwamba matajiri wote unaowajua wanakopa, ELON MUSK, alikopa kuinunua Twitter (sasa X), Mohammed Dewji MO alikopa benki ya First Rand Afrika kusini. Sasa Kama Elon Musk anakopa itakuwa wewe George wa Uyole? Mikopo ni ushahidi kwamba unaaminika na taasisi Kama Benki.

Je ni Benki ipi, (mtushauri kwa uzoefu) ina masharti nafuu ya mikopo. Kati ya Benki hizi za Tanzania kubwa (NBC, CRDB, NMB) au ndogo (MKOMBOZI, MAENDELEO, AKIBA, AZANIA, DCB, AMANA)au za kimataifa (EQUITY, KCB, ABSA, NCBA, STANBIC, STANDARD CHARTERED, EXIM, BOA, DTB,) ipi ina masharti nafuu kwa wafanyabiashara wanaokopa kiwango cha 15M -500M .

Benki nyingi hazina shida kutoa mikopo ya wafanyakazi hasa wa Serikali! Lakini kwenye wafanyabiashara sarakasi zinakuwa nyingi utasikia lete "audited financial reports " za miaka mitatu iliyopita.

TOFAUTI ya matajiri na wafanyabiashara wa kawaida wao wanaaminika hivyo wanapewa mikopo nafuu, yenye masharti nafuu. Wewe ukienda kukopa jiandae riba ya 20% na hati ya nyumba mkononi [emoji23],bado hongo za hapa na pale kwa maafisa wa benki.

Kwenye benki tajwa hapo juu, ni ipi inawasaidia Sana wafanyabiashara wa kati na wadogo SMEs kukua? Hapa tuongelee mikopo ya 10M-500M

Natamani kusikia testimonials, kuhusu mtu aliyekuwa anakopa 10M na amepanda hadi 100M

Karibuni mshauri ,kwa mliokopa ni challenge zipi mlikutana nazo kwenye marejesho?
Mikopo imefirisi wengi kuliko walio tajirika, we endelea kujindanganya kwamba matajiri wote wanakopa, wenyewe wana ajiri credit au loan mananger hawagaiki na malejesho ya kila mwenzi na hawajui inakusanywa je kuna system ya kusimamia hizo loans, wewe paeleka hati ya kajumba kako tu baada ya miaka mitano utakuja na stori ya kukuonea huruma.
 
Mikopo imefirisi wengi kuliko walio tajirika, we endelea kujindanganya kwamba matajiri wote wanakopa, wenyewe wana ajiri credit au loan mananger hawagaiki na malejesho ya kila mwenzi na hawsjui kuna system ya kusimamia hilo.
Mkuu Kwema lakini? Unaweza kunipa mfano wa Tajiri yeyote unayemfahamu ambaye hajawahi kukopa? MMOJA TU
 
Mikopo imefirisi wengi kuliko walio tajirika, we endelea kujindanganya kwamba matajiri wote wanakopa, wenyewe wana ajiri credit au loan mananger hawagaiki na malejesho ya kila mwenzi na hawajui inakusanywa je kuna system ya kusimamia hizo loans, wewe paeleka hati ya kajumba kako tu baada ya miaka mitano utakuja na stori ya kukuonea huruma.
Mmh toka mwaka 2000 nakopa sijawahi firisika,acha kumuogopesha mdau,mwache akope,nimetoka kukopa 10M Hadi Sasa Niko 30M
 
HAKUNA TAJIRI ASIYEKOPA! umewahi kuwasikia watu wakisema hawakopi au kujisifia kwamba hawakopi kwenye biashara zao? Ukweli ni kwamba matajiri wote unaowajua wanakopa, ELON MUSK, alikopa kuinunua Twitter (sasa X), Mohammed Dewji MO alikopa benki ya First Rand Afrika kusini. Sasa Kama Elon Musk anakopa itakuwa wewe George wa Uyole? Mikopo ni ushahidi kwamba unaaminika na taasisi Kama Benki.

Je ni Benki ipi, (mtushauri kwa uzoefu) ina masharti nafuu ya mikopo. Kati ya Benki hizi za Tanzania kubwa (NBC, CRDB, NMB) au ndogo (MKOMBOZI, MAENDELEO, AKIBA, AZANIA, DCB, AMANA)au za kimataifa (EQUITY, KCB, ABSA, NCBA, STANBIC, STANDARD CHARTERED, EXIM, BOA, DTB,) ipi ina masharti nafuu kwa wafanyabiashara wanaokopa kiwango cha 15M -500M .

Benki nyingi hazina shida kutoa mikopo ya wafanyakazi hasa wa Serikali! Lakini kwenye wafanyabiashara sarakasi zinakuwa nyingi utasikia lete "audited financial reports " za miaka mitatu iliyopita.

TOFAUTI ya matajiri na wafanyabiashara wa kawaida wao wanaaminika hivyo wanapewa mikopo nafuu, yenye masharti nafuu. Wewe ukienda kukopa jiandae riba ya 20% na hati ya nyumba mkononi 😂,bado hongo za hapa na pale kwa maafisa wa benki.

Kwenye benki tajwa hapo juu, ni ipi inawasaidia Sana wafanyabiashara wa kati na wadogo SMEs kukua? Hapa tuongelee mikopo ya 10M-500M

Natamani kusikia testimonials, kuhusu mtu aliyekuwa anakopa 10M na amepanda hadi 100M

Karibuni mshauri ,kwa mliokopa ni challenge zipi mlikutana nazo kwenye marejesho?
Kiukweli sijui kwa upande wa wafanya biashara Ila kwa watumishi naweza kukushauri ijapokuwa nilikopa Mara mbili dunia ikaniheremea kwa madeni maana hela yote nilimpa mwanamke ,Sasa najuta nipo najituliza na ulanzi wangu .
 
Mkuu Kwema lakini? Unaweza kunipa mfano wa Tajiri yeyote unayemfahamu ambaye hajawahi kukopa? MMOJA TU
Suala sio kukopa issue ni mazingira na hali ya biashara yako unao kopea, kwa mfano Bakhresa banki ndo zina mfuata kumpa proposal ya expansion ya biashara zake pamoja na mkopo, na wana deal na loan maneger sio mkrugenzi tena........wewe una nini upewe mkopo rafiki na benki?
 
Kiukweli sijui kwa upande wa wafanya biashara Ila kwa watumishi naweza kukushauri ijapokuwa nilikopa Mara mbili dunia ikaniheremea kwa madeni maana hela yote nilimpa mwanamke ,Sasa najuta nipo najituliza na ulanzi wangu .
Pole, Mkuu ulikopa pesa ukampa mke wako je usimamizi ulikuwaje? Kwa sasa rejesho ni kiasi gani? Ulikopa kiasi gani
 
HAKUNA TAJIRI ASIYEKOPA! umewahi kuwasikia watu wakisema hawakopi au kujisifia kwamba hawakopi kwenye biashara zao? Ukweli ni kwamba matajiri wote unaowajua wanakopa, ELON MUSK, alikopa kuinunua Twitter (sasa X), Mohammed Dewji MO alikopa benki ya First Rand Afrika kusini. Sasa Kama Elon Musk anakopa itakuwa wewe George wa Uyole? Mikopo ni ushahidi kwamba unaaminika na taasisi Kama Benki.

Je ni Benki ipi, (mtushauri kwa uzoefu) ina masharti nafuu ya mikopo. Kati ya Benki hizi za Tanzania kubwa (NBC, CRDB, NMB) au ndogo (MKOMBOZI, MAENDELEO, AKIBA, AZANIA, DCB, AMANA)au za kimataifa (EQUITY, KCB, ABSA, NCBA, STANBIC, STANDARD CHARTERED, EXIM, BOA, DTB,) ipi ina masharti nafuu kwa wafanyabiashara wanaokopa kiwango cha 15M -500M .

Benki nyingi hazina shida kutoa mikopo ya wafanyakazi hasa wa Serikali! Lakini kwenye wafanyabiashara sarakasi zinakuwa nyingi utasikia lete "audited financial reports " za miaka mitatu iliyopita.

TOFAUTI ya matajiri na wafanyabiashara wa kawaida wao wanaaminika hivyo wanapewa mikopo nafuu, yenye masharti nafuu. Wewe ukienda kukopa jiandae riba ya 20% na hati ya nyumba mkononi 😂,bado hongo za hapa na pale kwa maafisa wa benki.

Kwenye benki tajwa hapo juu, ni ipi inawasaidia Sana wafanyabiashara wa kati na wadogo SMEs kukua? Hapa tuongelee mikopo ya 10M-500M

Natamani kusikia testimonials, kuhusu mtu aliyekuwa anakopa 10M na amepanda hadi 100M

Karibuni mshauri ,kwa mliokopa ni challenge zipi mlikutana nazo kwenye marejesho?
Uzi mzuri sana huu
 
Mmh toka mwaka 2000 nakopa sijawahi firisika,acha kumuogopesha mdau,mwache akope,nimetoka kukopa 10M Hadi Sasa Niko 30M
Bila kutaja aina ya biashara unao kopea hatuwezi kukuelewa unapotosha watu, kuna biashara hateri zisio tabirika na kuna biashara zinazo kopeshwa bila wasi wasi kwa mfano uvunaji wa miti ya mbao, benki itakupa pesa haraka inacho taka nikuona huo msitu tu.
 
Suala sio kukopa issue ni mazingira na hali ya biashara yako unao kopea, kwa mfano Bakhresa banki ndo zina mfyata kumpa proposal expansion ya biashara zake pamoja na mkopo, na wana deal na loan maneger sio mkrugenzi tena........wewe una nini upewe mkopo rafiki na benki?
Bakhresa alianzaje mkuu, kila safari huanzishwa na hatua moja, kampuni ikikua tutaajiri huyo loan manager. Kwa sasa Mhasibu anatosha atafanya kazi zote.
 
Bakhresa alianzaje mkuu, kila safari huanzishwa na hatua moja, kampuni ikikua tutaajiri huyo loan manager. Kwa sasa Mhasibu anatosha atafanya kazi zote.
Uliza alikopa akiwa katika stage au level gani ya biashara? Unajua kwanini watumishi hasa waalimu ni masikini wa kupindukia licha yakua wanapokea mishahara mizuri kuanzia 400k mpaka 1.5m ni kwasbb ya kukopa hovyo, wanatajilisha banki na micro finance wengi hawajawahi kupokea mshahara yao ksmiri tangu waanze kazi.
 
Mikopo imefirisi wengi kuliko walio tajirika, we endelea kujindanganya kwamba matajiri wote wanakopa, wenyewe wana ajiri credit au loan mananger hawagaiki na malejesho ya kila mwenzi na hawajui inakusanywa je kuna system ya kusimamia hizo loans, wewe paeleka hati ya kajumba kako tu baada ya miaka mitano utakuja na stori ya kukuonea huruma.
Mkopo unakupeleka juu , nikiwa kama mdau wa bank , kuna watu wanakopa then wana finance biashara nyingine tofauti na aliyo izoea hapo lazima ufilisike . Unapoombwa bank statement ya mwaka, legal docs kama Tin , tax clearance, lease agreement leseni pia lazima ijulikane working capital na business capacity ya mteja. Kwa kampuni hiyo Audited financial statement ni muhimu.
 
Mkopo unakupeleka juu , nikiwa kama mdau wa bank , kuna watu wanakopa then wana finance biashara nyingine tofauti na aliyo izoea hapo lazima ufilisike . Unapoombwa bank statement ya mwaka, legal docs kama Tin , tax clearance, lease agreement leseni pia lazima ijulikane working capital na business capacity ya mteja. Kwa kampuni hiyo Audited financial statement ni muhimu.
Biashara zenye audited financial report ni 2% ya biashara zote Tanzania, na tayari ni kubwa hata kulipa mkopo sio issue kwao, ila nyingi zinazo hitaji mkopo ni informal hazina documents za biashara zaidi ya leseni tu.
 
Ushauri wangu from uzoefu binafsi, pita kwao wote na hayo masharti nafuu yako, waachie wao waamue kama wanakuhitaji. Of course uwe tayari ku compromise, ukiwa kama mfanyabiashara negotiation haiwezi kuwa jambo geni.
 
Pole, Mkuu ulikopa pesa ukampa mke wako je usimamizi ulikuwaje? Kwa sasa rejesho ni kiasi gani? Ulikopa kiasi gani
Ashakum si matusi hakuwa mke ni gumalaya gwa mjini ambaye nilidhani nitaoa kumbe alifuata kibunda .
Nilikopa ili aanzishe biashara ya vipodozi duka kuuuubwa Kama naliona ,Ila ikawa vile akaolewa huko Tabora na jamaa mmoja muuza asali ,.Kuhusu makato ni Siri yangu maana nikisema hapa mtanicheka mbwembwe zangu za hapa na kamshahara ninakopokea hakaendani na hadhi yangu ,hivyo kwenye suala la makato naomba miwe nje ya box .
Ahsante dada umeniumiza moyo sana
 
Back
Top Bottom