Mjadala: Benki nzuri kwa mikopo ya wafanyabiashara (15m-500m)

Mjadala: Benki nzuri kwa mikopo ya wafanyabiashara (15m-500m)

Mkopo unakupeleka juu , nikiwa kama mdau wa bank , kuna watu wanakopa then wana finance biashara nyingine tofauti na aliyo izoea hapo lazima ufilisike . Unapoombwa bank statement ya mwaka, legal docs kama Tin , tax clearance, lease agreement leseni pia lazima ijulikane working capital na business capacity ya mteja. Kwa kampuni hiyo Audited financial statement ni muhimu.
nyiokunda karibu Sana mkuu, unasuggest benki ipi 10M-100M na 100M-500M hapo kwenye kufinance biashara tofauti pengine wanafanya diversifying ya portfolio zao.
kuna tajiri namfahamu alikopa kupitia biashara ya Pharmacy akajenga hoteli kubwa. Alilipa vizuri kabisa
 
Pole
Ashakum si matusi hakuwa mke ni gumalaya gwa mjini ambaye nilidhani nitaoa kumbe alifuata kibunda .
Nilikopa ili aanzishe biashara ya vipodozi duka kuuuubwa Kama naliona ,Ila ikawa vile akaolewa huko Tabora na jamaa mmoja muuza asali ,.Kuhusu makato ni Siri yangu maana nikisema hapa mtanicheka mbwembwe zangu za hapa na kamshahara ninakopokea hakaendani na hadhi yangu ,hivyo kwenye suala la makato naomba miwe nje ya box .
Ahsante dada umeniumiza moyo sana
Pole Sana mkuu, utasimama tena naamini usikate tamaa
 
Mikopo imefirisi wengi kuliko walio tajirika, we endelea kujindanganya kwamba matajiri wote wanakopa, wenyewe wana ajiri credit au loan mananger hawagaiki na malejesho ya kila mwenzi na hawajui inakusanywa je kuna system ya kusimamia hizo loans, wewe paeleka hati ya kajumba kako tu baada ya miaka mitano utakuja na stori ya kukuonea huruma.
wengi wanakopa ,na wanaishi kwa hizo hela kama zao.
wengi wanakopa kiasi kikubwa kuliko uwezo wao wa kulipa, matokeo yake mkopo huo huo unatumika kufanya marejesho. hapa hutoboi, hadi kamtaji kako ulikokuwa nako katakufa. mkopo haujengi uwezo wa kulipa mkopo
unatakiwa kuwa na uwezo wa kulipa huo mkopo kabla hujakopa
yaani mkopo usitikise biashara yako
mkopo ni taaluma ambayo wengi hawana. unamhonga afisa mikopo akupe hela nyingi, kisha zinakushinda kurejesha
 
Endelea kujidanganya mikopo ni hatari Kwa masikini
Masikini ni mentality!! You become what you think!!
Mfano una biashara inakuingizia faida ya 4M kwa mwezi kwa mwaka ni 48M
Unahitaji kupanua wigo wa biashara, kwanini usifanye Hivyo? Au unataka asset mpya? Au umepata tender kubwa?
Nimekupa challenge nitajie Tajiri unayemfahamu ambaye hajawahi kukopa, MMOJA TU
 
wengi wanakopa ,na wanaishi kwa hizo hela kama zao.
wengi wanakopa kiasi kikubwa kuliko uwezo wao wa kulipa, matokeo yake mkopo huo huo unatumika kufanya marejesho. hapa hutoboi, hadi kamtaji kako ulikokuwa nako katakufa. mkopo haujengi uwezo wa kulipa mkopo
unatakiwa kuwa na uwezo wa kulipa huo mkopo kabla hujakopa
yaani mkopo usitikise biashara yako
mkopo ni taaluma ambayo wengi hawana. unamhonga afisa mikopo akupe hela nyingi, kisha zinakushinda kurejesha
Elimu hii ni muhimu Sana, kingine riba za benki zetu ziko juu Sana
 
nyiokunda karibu Sana mkuu, unasuggest benki ipi 10M-100M na 100M-500M hapo kwenye kufinance biashara tofauti pengine wanafanya diversifying ya portfolio zao.
kuna tajiri namfahamu alikopa kupitia biashara ya Pharmacy akajenga hoteli kubwa. Alilipa vizuri kabisa
Huyo ana idea ya biashara hiyo ,kuhusu mikopo midogo kama 20 hadi 30 kuna bank zinatoa kwa haraka. N security zake hata sales agreement. Nitarudi
 
nyiokunda karibu Sana mkuu, unasuggest benki ipi 10M-100M na 100M-500M hapo kwenye kufinance biashara tofauti pengine wanafanya diversifying ya portfolio zao.
kuna tajiri namfahamu alikopa kupitia biashara ya Pharmacy akajenga hoteli kubwa. Alilipa vizuri kabisa
Biashara ya pharmacy ni kuuza dawa, unaamini anaweza kujenga hotel au kuna dawa za kulevya pia.

Elewa hapa duniani kuna biashara za watu ni cover tu kuhaada watu source of income yake lakini income yake halisi siyo hiyo unayoiona wewe kwa macho.
 
watu wengi wanatajirisha benki na taasisi za fedha kwa kusema kauli uliyotoa kuwa matajiri wanakopa.....kuna situation ambazo zitapelekea mtu kukopa na kuna kitu kinaitwa bad debts na good debts....biashara kama inakwenda sawa hakuna haja ya kukopa...biashara kama inazidiwa wateja au inazidiwa mtaji uwezo wa kuhudumia au kujihudumia kugenerate profit ndio wakati ambao unaweza kwenda kukopa...vinginevyo ni kuwatafutia maafisa benki mishahara.....
 
Biashara ya pharmacy ni kuuza dawa, unaamini anaweza kujenga hotel au kuna dawa za kulevya pia.

Elewa hapa duniani kuna biashara za watu ni cover tu kuhaada watu source of income yake lakini income yake halisi siyo hiyo unayoiona wewe kwa macho.
Kwa nini umjudge mtu bila ushahidi? Kwahiyo matajiri wote wanauza madawa?
 
watu wengi wanatajirisha benki na taasisi za fedha kwa kusema kauli uliyotoa kuwa matajiri wanakopa.....kuna situation ambazo zitapelekea mtu kukopa na kuna kitu kinaitwa bad debts na good debts....biashara kama inakwenda sawa hakuna haja ya kukopa...biashara kama inazidiwa wateja au inazidiwa mtaji uwezo wa kuhudumia au kujihudumia kugenerate profit ndio wakati ambao unaweza kwenda kukopa...vinginevyo ni kuwatafutia maafisa benki mishahara.....
Tupe darasa mkuu!!
 
Unaulizia uzuri wa benki kimajengo au kua na mtaji mkubwa, mimi nadhani ungekua specifiki uulize yenye riba nafuu na masharitu mazuri lakini pia kinategemea na aina ya mkopo unao taka.
Nimeuliza kwa 10-100M ipi ina masharti nafuu, na 100M-500M ,Aina ya mkopo ni mkopo wa biashara kuongeza asset (asset financing)
 
Masikini ni mentality!! You become what you think!!
Mfano una biashara inakuingizia faida ya 4M kwa mwezi kwa mwaka ni 48M
Unahitaji kupanua wigo wa biashara, kwanini usifanye Hivyo? Au unataka asset mpya? Au umepata tender kubwa?
Nimekupa challenge nitajie Tajiri unayemfahamu ambaye hajawahi kukopa, MMOJA TU
Acha habari zako za kujifariji kama unakopa million 20 hakikisha bank account Yako Ina hicho kiasi usilete habari za kujifariji hapa wengi wamefirisika kisa hiyo mikopo
 
Back
Top Bottom