Naweza kusema kama nimeshajishindwa vile, hii yote ni kwa sababu kwa miaka 17 sasa nimekuwa napiga selfie! Dah hii hatari, niliianzisha hii mada kwa lengo la kupata mawazo mbali mbali toka kwa members wenzangu, binafsi kila siku huwa nasema kesho nitaacha, lakini kwa leo hii siku ya tarehe 15 Jul 2017 natangaza rasmi kuacha selfie.
Na kwa members wenzangu nawashauri muache, kwani ina madhara makubwa sana, madhara niloyapata mimi ni moja ya kama nikipewa papuchi hata sahivi nina uwezo wa kutupia hata vitano, lakini nikitoka hapo huwa nalala si chini ya masaa ma4.
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums