Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Sasa kama kaathirika anawezaje kuendelea nayo ilhali kifanyio hakifanyi kazi. Halafu umuombe Mungu kuacha nyeto halafu unaenda kuzini? Naona kama mawazo yako yana walakini?
yeye akili yake inamtuma kuzini sio dhambi
 
Kwa kuongezea tu, akipata hamu kama hana demu mwambie afanye mazoezi hasa ya kukimbia. Hamu lazima iishe...
 
best wishes
 
kwakuwa mtu unakula unashiba.. na unaafya nzima.. basi moja kati ya NYETO au KUZINI.. inakuhusu.. au ujistiri kwa kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…