Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,348
- 3,305
Nyeto ni starehe kama zilivyo zingine so punguzeni kuizungumzia vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeye akili yake inamtuma kuzini sio dhambiSasa kama kaathirika anawezaje kuendelea nayo ilhali kifanyio hakifanyi kazi. Halafu umuombe Mungu kuacha nyeto halafu unaenda kuzini? Naona kama mawazo yako yana walakini?
hahaha.... hatari sana.. mkuu naona wewe utakuwa KIONGOZI MWANDAMIZI wa CHAPUTANyeto ni starehe kama zilivyo zingine so punguzeni kuizungumzia vibaya
CHAPUTA(Chama cha Punyeto Tanzania) - JamiiForumsKaka emb fungua thread ya watu wa Chaputa nije niwashuhudie.. memba wakeleketwa
HAHAHAHAH.. we jamaa.. sijawahi kujaribu ile kitu.. na sitaki.. maana naona watub wapo ADDICTED sanaNyeto huwa tunapumzika tu kuacha labda ufee,by CHAPUTA member
Kwa kuongezea tu, akipata hamu kama hana demu mwambie afanye mazoezi hasa ya kukimbia. Hamu lazima iishe...kwa Wale walio athirika na huu Ushenzi.. njia rahisi nii hii hapa
nilimshauri Mwenzenu akafuata hii njia leo hii Ananishukuru,
Tenga siku 7 Bila kupiga nyeto..
(usiangalie picha za uchi/wala kushikana shikana na mwanamke ukiwa unajua huwez kumlala/epuka story za mapenzi zilizo kithiri/LEFT magrp yote ya whatsapp yanayojihusisha na mambo ya 18+)
ukifanikiwa kufika siku 7... futa kichwani.. anza tena (endelea) siku 7 zingine..
jumla utakuwa na siku 14... hapa Ubongo unakuwa katika recovery mode..
fanya tena huo mzunguko hadi ufikie siku 14 zingine...
(kaa chini.. omba mungu wako akuepushe na hako kamchezo... jiongezee imani na ujasiri kwa kutafakari kuweza kumudu siku nyingi bila PUNYETO)
malizia siku zingine kama kawaida.. na kama una DEMU nenda kasawazishe MATUTA na kama hauna basi kausha..
ukifanya hivyo... PUNYETO UNAISAHAU kabisa...
NB;MTU ALIYEKUWA NA MAZOEA YA KUPIGA PUNYETO ALAFU AKAWEZA KUACHA KABISA KUPIGA PUNYETO huyo mtu huwa na UPEKEE kunako 6x6.. pia mtu huohuyo anapata MIZUKA sana pale anapokutana na real INSTRUMENT...
Unaona sasa. Nilijifunza jambo moja kwamba katika maisha kila kitu kikizidi kiwango kina athari. Vilevile kila mtu ana starehe yake. Na kwa sababu hasa matendo ya kingono hayafanyiki hadharani ni ngumu kucontrol mtu anachokifanya akiwa chumbani peke yake.yeye akili yake inamtuma kuzini sio dhambi
best wisheshiyo njia ilikuwa ni the bestest kama duniani tungekuwa tunaishi mara mbili,but kama tunaishi mara moja,hakuna haja ya kuacha kupiga manyanga,tuendelee tu!ukianza kufuatilia trends za vitu vyenye madhara kwa sasa kila kitu kitaonekana hakifai...wewe hongera kwa kuacha sisi tunaendelea!
nimeona kaka.. huyu jamaa anaejiita MAFUVU.. daah ana slogan kali.. kama cheguevara
shukrani mkuuKwa kuongezea tu, akipata hamu kama hana demu mwambie afanye mazoezi hasa ya kukimbia. Hamu lazima iishe...
ila uliwai kufumuliwa malinda! retrivu , utagundua waliua hisia za mbele zikaamia 071mie sijawahi kupiga nyeto mzee
kwakuwa mtu unakula unashiba.. na unaafya nzima.. basi moja kati ya NYETO au KUZINI.. inakuhusu.. au ujistiri kwa kuoaUnaona sasa. Nilijifunza jambo moja kwamba katika maisha kila kitu kikizidi kiwango kina athari. Vilevile kila mtu ana starehe yake. Na kwa sababu hasa matendo ya kingono hayafanyiki hadharani ni ngumu kucontrol mtu anachokifanya akiwa chumbani peke yake.
Huwezi kukwepa kuwa na starehe yako pendwakwakuwa mtu unakula unashiba.. na unaafya nzima.. basi moja kati ya NYETO au KUZINI.. inakuhusu.. au ujistiri kwa kuoa
wanawake wote hao niende kupiga nyeto ili iwejeila uliwai kufumuliwa malinda! retrivu , utagundua waliua hisia za mbele zikaamia 071
mkuu we starehe yako ni ipi.. tuanzie hapoHuwezi kukwepa kuwa na starehe yako pendwa
Sasa hivi napenda sana kusikiliza muziki. Nadhani ndio starehe ambayo hainigharimu kitu chochote.mkuu we starehe yako ni ipi.. tuanzie hapo
Slogan ya Chaputa ni........wanawake wote hao niende kupiga nyeto ili iweje
Anha.. sas nyeto unaepukajeSasa hivi napenda sana kusikiliza muziki. Nadhani ndio starehe ambayo hainigharimu kitu chochote.
daah.. hahaha unanivuta vuta niingie ktk chama.. ila hapana kwa kweliSlogan ya Chaputa ni........
"UTAMU UNAO MWENYEWE KWA DEMU UNAFUATA UTELEZI TU"
sasa kama huamini nenda kajaribu then ulete mrejesho