kwa Wale walio athirika na huu Ushenzi.. njia rahisi nii hii hapa
nilimshauri Mwenzenu akafuata hii njia leo hii Ananishukuru,
Tenga siku 7 Bila kupiga nyeto..
(usiangalie picha za uchi/wala kushikana shikana na mwanamke ukiwa unajua huwez kumlala/epuka story za mapenzi zilizo kithiri/LEFT magrp yote ya whatsapp yanayojihusisha na mambo ya 18+)
ukifanikiwa kufika siku 7... futa kichwani.. anza tena (endelea) siku 7 zingine..
jumla utakuwa na siku 14... hapa Ubongo unakuwa katika recovery mode..
fanya tena huo mzunguko hadi ufikie siku 14 zingine...
(kaa chini.. omba mungu wako akuepushe na hako kamchezo... jiongezee imani na ujasiri kwa kutafakari kuweza kumudu siku nyingi bila PUNYETO)
malizia siku zingine kama kawaida.. na kama una DEMU nenda kasawazishe MATUTA na kama hauna basi kausha..
ukifanya hivyo... PUNYETO UNAISAHAU kabisa...
NB;MTU ALIYEKUWA NA MAZOEA YA KUPIGA PUNYETO ALAFU AKAWEZA KUACHA KABISA KUPIGA PUNYETO huyo mtu huwa na UPEKEE kunako 6x6.. pia mtu huohuyo anapata MIZUKA sana pale anapokutana na real INSTRUMENT...