Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Wewe ni mwanaume?

Kama haujawahi hizi mbinu ulijaribu kwa nani?

ndio maana hata dawa zinajaribiwa kwa viumbe wengine kama sokwe.. na wengine.. ila hii sio dawa useme inafanyiwa majaribio ni USHAURI TU niliutoa kwa kadri ELIMU yangu ilivyoniruhusu
 
Tangu nimeoa nimehacha maana nilikua nshakua teja wa nyeto nakumbuka kuna siku nilikua napiga nyeto nikiwa kwenye daladala bahati nzuri skufanikiwa kumimina mzigo .sjui ningetembea vip siku nyingine nikawa napiga nmekaa kwenye kitanda kumbe jamaa zangu wananipimia dirishani walicheka sana .ndo nikastuka mpaka leo wife akisafir wiki moja lazma nipige
 
Tangu nimeoa nimehacha maana nilikua nshakua teja wa nyeto nakumbuka kuna siku nilikua napiga nyeto nikiwa kwenye daladala bahati nzuri skufanikiwa kumimina mzigo .sjui ningetembea vip siku nyingine nikawa napiga nmekaa kwenye kitanda kumbe jamaa zangu wananipimia dirishani walicheka sana .ndo nikastuka mpaka leo wife akisafir wiki moja lazma nipige

hahahah duuh.. hako kamchezo kanawatesa wengi.. pole mzee
 
Hakuna njia rahisi ya kuacha puchu zaidi ya kujua dhambi za kupiga puchu (hofu ya mungu) mengine tutadanganyana kuna watu mpaka wameathirika na puchu ila bdo hawaachi tumuombe mungu sana ktk hili
 
Ngoja na mim nijaribu,maana huwa nikiacha napiga mabao sana ndotoni.
kwa Wale walio athirika na huu Ushenzi.. njia rahisi nii hii hapa

nilimshauri Mwenzenu akafuata hii njia leo hii Ananishukuru,

Tenga siku 7 Bila kupiga nyeto..

(usiangalie picha za uchi/wala kushikana shikana na mwanamke ukiwa unajua huwez kumlala/epuka story za mapenzi zilizo kithiri/LEFT magrp yote ya whatsapp yanayojihusisha na mambo ya 18+)

ukifanikiwa kufika siku 7... futa kichwani.. anza tena (endelea) siku 7 zingine..

jumla utakuwa na siku 14... hapa Ubongo unakuwa katika recovery mode..

fanya tena huo mzunguko hadi ufikie siku 14 zingine...

(kaa chini.. omba mungu wako akuepushe na hako kamchezo... jiongezee imani na ujasiri kwa kutafakari kuweza kumudu siku nyingi bila PUNYETO)

malizia siku zingine kama kawaida.. na kama una DEMU nenda kasawazishe MATUTA na kama hauna basi kausha..

ukifanya hivyo... PUNYETO UNAISAHAU kabisa...

NB;MTU ALIYEKUWA NA MAZOEA YA KUPIGA PUNYETO ALAFU AKAWEZA KUACHA KABISA KUPIGA PUNYETO huyo mtu huwa na UPEKEE kunako 6x6.. pia mtu huohuyo anapata MIZUKA sana pale anapokutana na real INSTRUMENT...
 
Hakuna njia rahisi ya kuacha puchu zaidi ya kujua dhambi za kupiga puchu (hofu ya mungu) mengine tutadanganyana kuna watu mpaka wameathirika na puchu ila bdo hawaachi tumuombe mungu sana ktk hili

wanaweza kuacha if wakiamua kuacha... ila kuacha ni kazi sana
 
Hakuna njia rahisi ya kuacha puchu zaidi ya kujua dhambi za kupiga puchu (hofu ya mungu) mengine tutadanganyana kuna watu mpaka wameathirika na puchu ila bdo hawaachi tumuombe mungu sana ktk hili
Sasa kama kaathirika anawezaje kuendelea nayo ilhali kifanyio hakifanyi kazi. Halafu umuombe Mungu kuacha nyeto halafu unaenda kuzini? Naona kama mawazo yako yana walakini?
 
Back
Top Bottom