Wanaume wapenda punyeto juwa haamridhishi wenzi wenu sekunde thelathini mnakuwa mumekojoa ka jogooAcha uoga bwana mdogo punyeto haina madhara yeyote kiafya tena inasaidia kupunguza uwezekano mwanaume kupata saratani ya tezi dume, mimi nimekua nikipiga puli tokea mwaka 1992 hadi leo hii na sina athari yeyote ile
Kakuacha wapi? [emoji2][emoji2]Rafiki wewe ni @demi?Nimeachwa kwenye mataa na rafiki yangu kipenzi my damned @demi.Am missing her so much![emoji19][emoji19][emoji19]
Kakuacha wapi? [emoji2][emoji2]Rafiki wewe ni @demi?Nimeachwa kwenye mataa na rafiki yangu kipenzi my damned @demi.Am missing her so much![emoji19][emoji19][emoji19]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama nakuona vileAcha kuongea ukwel basi aisee,
Endelea kumtafuta, yupo sana mi namuona kila sikuKabadilisha ghafla ID hapa JF!
Achana nae hana chura huyo..njoo kwangu[emoji15]Nipe ID yake please!
Wanaume wapenda punyeto juwa haamridhishi wenzi wenu sekunde thelathini mnakuwa mumekojoa ka jogoo
Hahaaa asilimia kubwaBoy wako huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama nakuona vile
Nimejiwekea Mpango Mkakati wa kuacha Punyeto nimekusudia na nina hakika sitopiga tena Punyeto. Karibu katika Thread hii hujifunze na tupeana mbinu mbalimbali za Kuacha na Punyeto.
Siku ya Kwanza yenye Massa 24, ilikuwa jana nliamua na nimehacha kupiga Punyeto,
Ilikuwa ni tabia niliyokuwa nayo kwa miaka kadhaa mpaka siku ya Jana nilipoamua kuacha kabisa. Nimeona jinsi nilivyokuwa nakifurahia kitendo hiki kabla ya kupiga Punyeto ila nikishapiga najutia na ninachukia naona nimekosea sana. Nilisoma Faida zake kwenye Mitandao na baadae nikasoma Madhara yake.
Ila kutokana na Maamuzi yangu ambayo nimeyafurahi sana nimeamua kuhacha kitendo hiki na Ninamshukuru sana Mungu kwa kuwa amenihakikisha kuwa naweza tena naweza zaidi kuacha na kutokurudia kupiga Punyeto.
Asante Mungu
Siku ya Kwanza Jana 1 Nov 2020
Leo Tar 2 Ni siku yangu ya Mbili toka nimeacha kupiga Punyeto, na Leo nimejitahidi sana kujiepusha na kukaa mwenyewe au pekee yangu. Kuna wakati hali ilikuja ila nikaamua kwenda nje nikatembea kidogo niliporudi hali ikawa imetulia.
Siku ya Pili nimeishinda hii hali, nimedhamiria Moyoni, na najua nitaweza na Mungu ananisaidia
Umeongea point kubwa sana, chanzo kimojawapo kikubwa ni Porn,Chanzo kikuu ni porn asee ukiweza kuepuka huu mtego umemaliza kila kutu missions completely
Ukiwa na bando lako una GB zako za kutoka unaweza shangaa usiku wa Manane usingiz ukakata kuna kiakili kinakujia upite kule uperuzi kidogo jua hapo ñdo makosa yanapoanzia
Mimi kinachonishangaa hivi majuzi tangu mtandao wa internet ufungiwe nilikuwa na bando langu kila nikiangia social media yoyote ile inagoma lkn nikizama Ignito pale chrome ngoma inatiki na kufunguka bila hiyana nikawa nashangaa hii miujiza nn sikuwa na budi ilibidi nilitumia bando langu kuperuzi xx clear HD , ikawa kazi na dawa daaadeq nimehitahidi kuihide Google chrome lkn nimeshindwa maana naona kama ndo passport yangu ipo hapo kuelekea USA
Mungu anirehemu
Umepiga kwa muda ganiNimejiwekea Mpango Mkakati wa kuacha Punyeto nimekusudia na nina hakika sitopiga tena Punyeto. Karibu katika Thread hii hujifunze na tupeana mbinu mbalimbali za Kuacha na Punyeto.
Siku ya Kwanza yenye Massa 24, ilikuwa jana nliamua na nimehacha kupiga Punyeto,
Ilikuwa ni tabia niliyokuwa nayo kwa miaka kadhaa mpaka siku ya Jana nilipoamua kuacha kabisa. Nimeona jinsi nilivyokuwa nakifurahia kitendo hiki kabla ya kupiga Punyeto ila nikishapiga najutia na ninachukia naona nimekosea sana. Nilisoma Faida zake kwenye Mitandao na baadae nikasoma Madhara yake.
Ila kutokana na Maamuzi yangu ambayo nimeyafurahi sana nimeamua kuhacha kitendo hiki na Ninamshukuru sana Mungu kwa kuwa amenihakikisha kuwa naweza tena naweza zaidi kuacha na kutokurudia kupiga Punyeto.
Asante Mungu
Siku ya Kwanza Jana 1 Nov 2020
Leo Tar 2 Ni siku yangu ya Mbili toka nimeacha kupiga Punyeto, na Leo nimejitahidi sana kujiepusha na kukaa mwenyewe au pekee yangu. Kuna wakati hali ilikuja ila nikaamua kwenda nje nikatembea kidogo niliporudi hali ikawa imetulia.
Siku ya Pili nimeishinda hii hali, nimedhamiria Moyoni, na najua nitaweza na Mungu ananisaidia
Kauli yako ya Mwisho, imefunga na kumalizia kauli zako za Kwanza. Nimedhamiria na siwacheki wengine na wengine wameandika hapa wakitoa ushauri, ninachojua kuwa nimedhamiria kuacha na uzuri sipo Pekee yangu Bali nipo na Mungu wangu ambaye ameniambia ninaweza hata hili.😂😂😂😂😂😂
Nakumbuka kuna kipindi niliweka nadhiri kama hii, na nikawasimanga sana wanaosema kuacha hii kitu ni ngumu.
Wiki moja na siku kadhaa tu, nilirudi kwa spidi...usain bolt akasome.
NB. Sikukatishi tamaa mkuu...😂😂😂😂
Asante sana,Acheni zenu bana mtu anahitaji kufarijiwa na kutiwa moyo.
sio kuletewa mzaha na kejeli za kijinga. kama huna chaku shauri pita kimya kimya..
NB. Pole mtoa mada..! usipende kukaa peke yako, pia video games zinaweza kukusaidia
Hongera sana kwa kutimiza Mwaka bila kupiga Punyeto, umenipa nguvu zaidi. For sure inawezekana.Hahahaàaa siku mbili sio za kujipongeza aisee, kwa sasa nina zaidi ya mwaka sijapiga hii kitu ila kila nilipokuwa najiapiza hapo kale ilikuwa lazima nirudie tu ila nilipoamua kuipotezea bila viapo ndo huyoooo nakaribia mwaka wa pili saivi, na hata porn film naishia kud**sha tu naangalia kama nyimbo za mond ila hapo kale ilikuwa nikiona hizo film tu lazima nikiwashe