Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Acha uoga bwana mdogo punyeto haina madhara yeyote kiafya tena inasaidia kupunguza uwezekano mwanaume kupata saratani ya tezi dume, mimi nimekua nikipiga puli tokea mwaka 1992 hadi leo hii na sina athari yeyote ile
Haa ha ha, du! We jamaa noumer sana, since 1992?
 
Uja acha ww sema net ipo slow kuingia pornhub ngoja mzee apishwe bsi net irud
 
Nakutakia kila la heri lakini fahamu upo kwenye spiritual warfare (vita vya kiroho) kwa sababu masturbation hufungua mlango mkubwa sana wa spirit of lust (roho ya uasherati) kuingia ndani ya mtu na hatimaye kumfanyΓ  mtu kushindwa kujizuia unaposikia hamu ya kufanya masturbation.
Na kinachofanya ushindwe kujizuia ni kwasababu unakua under control/dominion of spirit of lust.

Msaada wa kuacha na kutoka kwenye kifungo cha addiction ya punyeto ni maombezi ya kufunguliwa kwenye hiyo changamoto

Pia zipo hatua nyingine ambazo unaweza kuzifuata ili uweze kufunguliwa na kuwa huru.

All in all its a process kikubwa ni kutafuta msaada wa Mungu kwake hakuna lisilo wezekana
 
Wonderful, Mungu akubariki kwa ushauri murua na makini uliojaa maneno yaliyotoka kwenye misingi ya NENO.

Asante sana, Ninaendelea na dhamira yangu, na kumuomba Mungu Kwa kuwa ndiye aliyenihakikishia kuwa ninaweza kuacha
 
Nitoe na mimi nitoe ushuhuda wangu kikutia moyo, sasa hivi nina miezi mitatu na zaidi bila hiyo mambo mara yangu ya mwisho ilikuwa tarehe 25 mwezi wa saba.

Porn naangalia kama kawaida lakini sifanyi chochote, ukiamua inawezekana lakini itakuwa rahisi sana kwako kama umeshapata madhara kadhaa.
 
Hongera sana, Jambo jema hilo miezi mitatu safiiiiiii.

Porn noooo, hazihitajiki kwangu tena. Ni Kusonga Mbele
 
Sikusema uendelee kutizama, nilichomaanisha ni kuwa si kila ukiangalia porn lazima ujichue.

Na wewe utafanikiwa tu mkuu fanya kuchukia hicho kitendo basi mengine mbwembwe tu.
 
Sikusema uendelee kutizama, nilichomaanisha ni kuwa si kila ukiangalia porn lazima ujichue.

Na wewe utafanikiwa tu mkuu fanya kuchukia hicho kitendo basi mengine mbwembwe tu.
Unanitenga sana mheshimiwa
 
Legend incognitico we legend

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Acha uoga bwana mdogo punyeto haina madhara yeyote kiafya tena inasaidia kupunguza uwezekano mwanaume kupata saratani ya tezi dume, mimi nimekua nikipiga puli tokea mwaka 1992 hadi leo hii na sina athari yeyote ile
Kakakaaa!! Kumbe nyeto ina muda mrefu duu!!
 
We upo likizo tu utarud kwa kasi ya ajabu
 
Wonderful, Mungu akubariki kwa ushauri murua na makini uliojaa maneno yaliyotoka kwenye misingi ya NENO.

Asante sana, Ninaendelea na dhamira yangu, na kumuomba Mungu Kwa kuwa ndiye aliyenihakikishia kuwa ninaweza kuacha
Amen God bless you unayaweza mambo yote katika yeye akutiaye nguvu!!

Keep the good fight usikate tamaa the victory is yours!!

Zaburi 119:11 moyoni mwangu nimeliweka neno lako nisije nikakutenda dhambi!!

Jitahidi kwa msaada wa Mungu kusoma neno na kulitafakari ili kila mawazo ya kufanya masturbation yakija neno la Mungu likusaidie kuyaangusha hayo mawazo!!

Mfano: Mawazo yakuangalia porn au kufanya masturbation yakija ndani yako sema kinyume na hayo mawazo kwa neno la Mungu
(if your a born again Christian) like imeandikwa

Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. Wagalatia 5:24 etc

NB: Keep yourself away from social media contents zenye contents za nudity,movies zenye scenes za ngono na miziki maana pia inaweza kuwa sehemu ya kukuingiza majaribuni.
 
Kweli ulikuwa addicted asee, yaan inaonekana kwamba ilikiwa haipiti masaa 24 ushapiga nyeto. Inamaana kila siku. Hongera kwa kuacha
Huyo hajaacha kabisa!
Nina rafiki yangu mmoja tena ana nafasi kubwa tu serikalini ni mtu mzima about 45yrs baba mwenye familia na watoto lakini anasema mpaka sasa anapigaga "puchu" alianza tangu akiwa form one mpaka huko vyuoni alikuwa mpigaji sana wa hiyo makitu mpaka wakawa wanamwita katibu mwandamizi wa CHAPUTA !
Anasema kuacha nyeto ni kazi ngumu mno kama CCM kuachia madaraka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…