Mkuu usiwaze utakaa sawa tu kikubwa usirudie hako kamchezo. Kula vzr mf ugal dona, kula karanga za kutosha na mbegu za maboga kwa kuzikaanga, mboga za majani ziwe nyingi kwenye list ya mboga zako, na mwisho kabisa piga tizi la adabu. Kumbuka mashine yako imejengwa na misuli so piga kaz misuli ikae sawa na mtiririko wa damu uende vzr kujanza mashine yako. Pia unaweza kujarb zoezi na kubana mkojo bila kuminya na mkono yani automatic ukakojoa unazuia, hii itasaidia kuimalisha misuli yako ya mashine kuwa vzrKaka vipi kuhusu hiz damages zilizitokea hasa kwenye viungo vya uzazi
Vizuri sana broo sasa fanya mazoezi na tafuta demu hata malaya tuu ili kwanza ujenge confidence kabla ya kupata yule unayempendaNimeacha muda sasa na siwezi kurudi kaka tatizo haya madhara yake yananinyima raha jamani
Punyeto huwezi kuacha!
Mark my words
Nasikia inamadhara hasa kukosa mtoto mbeleniEndelea haina madhara hio
Ahsante mkuu nimekuelewa ila nimeamua san tu bado nashindwa.Kwanza elewa kwamba haina dawa!!
Ukitaka kuacha AMUA MWENYEWE. Ukiamua unaacha.
Siku ukiona una tamani kama huna demu vaa viatu kimbia kilomita 1 then rudi uone kama hamu haijaisha.
NB: Mrudie Mungu.
Wengi sana tungekosa watoto hata ww usingezaliwa.Nasikia inamadhara hasa kukosa mtoto mbeleni
Kwanz inamadhara pili ni dhambi pia kukosa kujiamini uwapo kwa kuta nneSababu zipi za msingi zinakufanya utake kuacha. Una na ya kutolea?