Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Kaka vipi kuhusu hiz damages zilizitokea hasa kwenye viungo vya uzazi
Mkuu usiwaze utakaa sawa tu kikubwa usirudie hako kamchezo. Kula vzr mf ugal dona, kula karanga za kutosha na mbegu za maboga kwa kuzikaanga, mboga za majani ziwe nyingi kwenye list ya mboga zako, na mwisho kabisa piga tizi la adabu. Kumbuka mashine yako imejengwa na misuli so piga kaz misuli ikae sawa na mtiririko wa damu uende vzr kujanza mashine yako. Pia unaweza kujarb zoezi na kubana mkojo bila kuminya na mkono yani automatic ukakojoa unazuia, hii itasaidia kuimalisha misuli yako ya mashine kuwa vzr
 
Puli inatakiwa ipigwe kwa afya
-kimoko per week
-kideo kireeefu cha porn 45/60mins (at 30 mins anza mchakato)
-usitumie nguvu
 
Nimeacha muda sasa na siwezi kurudi kaka tatizo haya madhara yake yananinyima raha jamani
Vizuri sana broo sasa fanya mazoezi na tafuta demu hata malaya tuu ili kwanza ujenge confidence kabla ya kupata yule unayempenda

Note
Malaya n hatari kwa afya
 
Punyeto huwezi acha kama huna sehemu ya uhakika ya kupata mzigo wakati unahitaji.

Fanya haya mambo itakusaidia:-

1. Vyakula utumiavyo zingatia hapa zingatia diet nzuri na maji kwa wingi narudia maji kwa wingi.

2. Mazoezi:- Ya kukimbia na viungo kwa ujumla anza taratibu wala usipanie.

3. Sehemu ya uhakika ya kula mzee hapa ndio mchawi. Ukiwa nayo huwezi kudhubutu kupiga nyeto huku unajua kuna sehemu unaweza kujipakulia minyama kama yote(Pisi ipo).

4. Mindset yako usiwaze sana wakati unamnyandua au kupania. Kuwa kawaida kabisa jitahidi maana huwa ni ngumu ila jitahidi.

5. Kuna ya kubana mkojo uendapo kukojoa kwa sekunde 5 /10 ni kama mazoezi fulani japo kuna baadhi wanasema si nzuri japo ina faida.
 
Tangu mwaka huu uanze binafsi nimeona kuzembea kwa baadhi ya wasimamizi wa sheria za Punyeto ngazi ya Mikoa.

Narudia kusema kuwa kitendo cha Mwanachama kuonesha dalili za wazi za kujitoa tena kwa kuomba ushauri mitandaoni inaonesha ni jinsi gani makatibu mikoani hampo makini.

Ndugu mleta mada ninaomba radhi kwa niaba ya viongozi wenzangu na ni wazi kuwa tutashughulikia tatizo lako na utaendelea na zoezi bila shaka.

Nawakumbusha turudi katika majukumu yetu ili kuboresha chama.

Wenu mwenezi wa chama, Taifa.

Chama cha Punyeto Tanzania (CHAPUTA).
 
Kweli kabsa huyu jamaa anasingizia nyeto wala nyeto haina madhara kama hayo
 

Pitia uzi huu utajifunza na kupata sababu na uwezo wa kuachana na ujinga huo.
 
Oa acha ujinga, ukisha oa huo mda wa kupiga nyeto utakosekana
 
Wakuuu nimekuja na id hii mpya japo mm humu ni mzoefu kuleta tatizo langu yaan punyeto ni shida kwangu hua naweza kuvumilia wiki tuu ikipita narudi na kasi yote. Huwa siifurahii ila akili inanishinikiza kufanya hua najitahidi sana nisipige kila siku ila nikivumilia sana wiki mbili nikija kupiga napiga siku mbili mfululizo kila siku bao 2 au 1.

Hua sizidi apo nakaaa wiki mbili au moja narudi hua inanikera hasa nikiwa nachat na demu wangu namwambia siku nikija ntakuchapa mpk basi naogopa kwenda kuaibika siku za siku na kuonekana si chochote wala sina maajabu kwa sasa sioni dalili yeyote ya madhara tokea nianze kupiga na nimesoma visa vingi tuu vya madhara na jinsi ya kuacha huu mchezo.

Jamani mimi niko na 18 years hapa Dar, tafadhali wakuu kama kuna mtu mwenye njia zitakazo nisaidia wala sio dawa maana mficha maradhi kifo humuumbua nasubiri majibu ndugu zangu.
 
Ukitaka kuacha AMUA MWENYEWE. Ukiamua unaacha.

Siku ukiona una tamani kama huna demu vaa viatu kimbia kilomita 1 then rudi uone kama hamu haijaisha.

NB: Mrudie Mungu.
 
Kwanza elewa kwamba haina dawa!!

Ukitaka kuacha AMUA MWENYEWE. Ukiamua unaacha.

Siku ukiona una tamani kama huna demu vaa viatu kimbia kilomita 1 then rudi uone kama hamu haijaisha.

NB: Mrudie Mungu.
Ahsante mkuu nimekuelewa ila nimeamua san tu bado nashindwa.
 
Soon utakuja kulalamika nguvu za kiume hakuna tena.
 
Back
Top Bottom